Jumatatu, 10 Oktoba 2011

TAIFA STARS YAFUNGWA 3-1 NA MOROCCO.

Matokeo haya yamefifisha matumaini ya Stars kuendelea mbele kwa tiketi ya best looser ili kuingia kwenye kinyang'nyiro cha fainali ya kombe la mataifa huru ya Afrika hapo mwaka ujao.
Timu ya Tanzania katika mechi na Morocco Oktoba 9 mwaka jana ambapo tulifungwa pia.
Mpambano mkali(picha zote kutoka maktaba)



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni