Jumamosi, 29 Oktoba 2011

WAZIRI MKUU AMTEMBELEA ZITTO MUHIMBILI KABLA YA KUSAFIRISHWA INDIA JANA.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimjulia hali mgonjwa Mh. Zitto Kabwe kabla ya kusafirishwa India kwa matibabu zaidi jana, hali ya Mheshimiwa Zitto si mbaya sana kwani alionekana akitembea mwenyewe kuelekea chumba cha VIP pale uwanja wa ndege wa Julius Nyerere wakati akisubiri kusafiri. Tunamuombea afya njema.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni