Jumanne, 25 Oktoba 2011

PICHA YA LEO;HAKI YA KIKATIBA, RAIS WA ZANZIBAR AAPISHWA ILI AINGIE KWENYE BARAZA LA MAWAZIRI JMT.

 



 Jaji Mkuu wa Tanzania, Othuman Chandeiakimwapisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein kuwa mjumbe wa Baraza la Mawaziri la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ikulu Dar es Salaam huku Rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo (katikati) wakishuhudia. (Picha na Yusuf Badi).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni