Jumamosi, 29 Oktoba 2011

YANGA YAIFUNGA SIMBA 1-0

Tegete wa Yanga.
Juma K Juma wa Simba.

Leo Simba imeshindwa kuunguruma mbele ya kandambili Yanga toka mitaa ya Twiga na Jangwani, mbele ya mashabiki kibao Simba imejikuta ikiloa kwa goli hilo moja katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom jioni hii ya leo, pole kwa watani wao wa jadi, ndio mpira huo, unadunda.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni