Jumamosi, 15 Oktoba 2011

NDOA YA UZEENI, HAMZA KALALA AMUOA MAMA YAKE KALALA JUNIOR BAADA YA MIAKA 24 YA KUISHI PAMOJA, HONGERENI SANA.

Hamza Kalala na mkewe Stella Momose Cheyo wamefunga ndoa kanisa katoliki Manzese mwanzoni mwa mwezi huu na kufuatiwa na sherehe ya kukata na shoka huko Ukumbi wa Vatcan City Hotel maeneo ya Sinza.
Bi harusi akimlisha keki mumewe.

Mmoja wa watoto wa wanandoa hao ni Kalala Junior ambaye ni mwanamuziki wa kundi la mapacha watatu akiimba na babake Hamza Kalala.

Credits; Glabalpublisherstz.info



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni