Alhamisi, 27 Oktoba 2011

ZITTO KABWE KALAZWA HOSPITALI MUHIMBILI.
























Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe akiwa amelazwa katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam, alikokuwa amelazwa kabla ya kuhamishiwa katika Hospitali ya Muhimbili. Kushoto ni rafiki wa yanke , Alex Kitumo. Picha na Venance Nestory

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni