Jumapili, 2 Oktoba 2011

LEO NDIO LEO IGUNGA, ASIYE NA MWANA AELEKE JIWE, NANI ATAIBUKA KIDEDEA UGOMBEA UBUNGE IGUNGA!!!?


Akina mama wa kijiji cha Isekenese wakimshangilia mgombea ubunge Jimbo la Igunga kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Dalaly Kafumu wakati akiruka kwa helkopta baada ya kuwahutubia wananchi wa kijiji hicho. (Na Mpigapicha Maalumu).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni