Jumamosi, 15 Oktoba 2011

PICHA YA LEO; MWENGE WA UHURU WAWASHWA JANA HUKO BUTIHAMA NA KUANZA MBIO ZAKE.


Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal akimkabidhi Mwenge wa Uhuru kiongozi wa mbio za mwenge mwaka 2011/12, Mtumwa Rashid Halfan kutoka Mkoa wa Kaskazini Unguja. Mbio hizo zilianza jana katika Kijiji Cha Butiama mkoani Mara. (Picha na Amour Nassor OMR).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni