Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo SPORTS. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo SPORTS. Onyesha machapisho yote

Jumatano, 1 Agosti 2012

AZAM WAKSIRISHWA NA KITENDO CHA NGASSA KUIBUSU NEMBO YA YANGA, ANAUZWA KWA YEYOTE ANAYEMUHITAJI.

 Ngassa milioni 80/- Awekwa sokoni na Azam Fc

Mrisho Ngassa
Uongozi wa klabu ya Azam ya jijini Dar es Salaam umesema kuwa umekasirishwa na kitendo cha kuibusu nembo ya klabu ya Yanga kilichoonyeshwa na mshambuliaji wake Mrisho Ngassa na kuongeza kwamba sasa uko tayari kumuuza mchezaji huyo kwa dola za Marekani 50,000 (Sh. milioni 80).

Hatua hiyo ya Azam imekuja kufuatia nyota huyo kuonyesha wazi mapenzi yake kwa klabu yake hiyo ya zamani, ambayo ni bingwa wa soka wa Afrika Mashariki na Kati.

Ngassa aliibusu nembo ya Yanga wakati akishangilia goli la pili alilofunga wakati timu yake ikicheza dhidi ya AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kushinda 2-1 katika mechi yao ya nusu fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame).

Azam imeeleza katika mtandao wake wa facebook kuwa, kitendo hicho (cha Ngassa) hakikuwa sahihi na watakuwa tayari kumuuza mchezaji huyo kwa kiasi hicho cha fedha kwa klabu yoyote ya ndani na nje ya Tanzania.

Hata hivyo, hadi kufikia jana mchana, taarifa kutoka ndani ya Azam zimeeleza kuwa hakuna ofa yoyote waliyopokea kutoka Yanga, Simba au klabu nyingine, licha ya mshambuliaji huyo kutajwa hivi karibuni kuwa ni miongoni mwa nyota wanaotakiwa na timu hizo.

Imeelezwa kuwa Ngassa amekuwa akionekana mara kadhaa ndani ya jengo la Yanga ambako huwafuata wachezaji Jerryson Tegete na Hamisi Kiiza ambao ndio marafiki zake wa karibu.

"Hakuna chumba cha Ngassa kama inavyodaiwa, ila akija klabuni mara nyingi huwafuata Kiiza au Tegete na kwenda vyumbani kwao, vyumba vyote vina wachezaji ambao wanaichezea Yanga hivi sasa," alisema mmoja wa viongozi wa Yanga.

Azam ambayo Jumamosi ilijiandikia rekodi kwa kufika fainali ya michuano iliyoshiriki kwa mara ya kwanza katika historia yake ya Kombe la Kagame, ilimaliza Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu uliomalizika ikiwa ya pili na hivyo mwakani itaiwakilisha nchi katika mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.

Ngassa ambaye aliwahi kwenda nje ya nchi kufanya majaribio na klabu ya Seattle Sounds ya Marekani, aliliambia gazeti hili juzi kwamba anajituma kila anapokuwa uwanjani na anaheshimu kazi yake.

Nyota huyo ambaye pia anaichezea timu ya taifa (Taifa Stars) aliongeza kwamba anafahamu yuko Azam kikazi na ataendelea kuitumikia kwa sababu ilimsajili baada ya kuridhishwa na kiwango chake.
Credits; Israel Saria
Kocha wa Simba, Milovan Cirkovic, aliwahi kusema kwamba anamuhitaji Ngassa katika kikosi chake na amesikitishwa na uongozi kushindwa kumpata katika usajili wao msimu huu

Alhamisi, 24 Novemba 2011

UEFA CHAMPIONS LEAGUE; MANCHESTER UNITED 2- BENFICA 2

Red alert: Ferdinand's mistake allowed Aimar to equalise  
Red alert: Ferdinand's mistake allowed Aimar to equalise

Man United: De Gea, Fabio Da Silva (Smalling 82), Jones, Ferdinand, Evra, Valencia (Hernandez 80), Carrick, Fletcher, Nani, Young, Berbatov.
Booked: Fletcher, Carrick
Scorers: Berbatov 30, Fletcher 59
Subs not used: Lindegaard, Giggs, Park, Rafael Da Silva, Gibson.

 Oh, Rio! Ferdinand's attempted clearance feel straight to Aimar who equalised for the visitors
Oh, Rio! Ferdinand's attempted clearance fell straight to Aimar who equalised for the visitors



Benfica: Artur Moraes, Maxi Pereira, Luisao (Miguel Vitor 58), Garay, Emerson, Witsel, Javi Garcia, Bruno Cesar, Aimar (Amorim 83), Rodrigo Moreno, Gaitan (Matic 67).
Subs not used: Eduardo, Cardozo, Nolito, Nelson Oliveira.
Booked: Artur, Garay, Pereira
Scorers: Jones (OG), Aimar 60
Referee: Cuneyt Cakir (Turkey).
Attendance: 74,853

 

OTHER MATCH FACTS

CSKA MOSCOW 0-2 LILLE
BATERN MUNICH 3-1 VILLAREAL
REAL MADRID 6-2 DINAMO ZAGREB
TRABZONSPOR 1-1 INTER MILLAN
LYON 0-0 AJAX AMSTERDAM
NAPOLI 2-1 MANCHESTER CITY
OTETUL GALAT 2-3 BASEL FC

Jumatano, 26 Oktoba 2011

TEVE'Z APIGWA FAINI YA PAUNI 800,000. KWA KUKATAA KUCHEZA AKITOKEA BENCHI.

MANCHESTER CITY'S STATEMENT IN FULL

'Manchester City Football Club can confirm that a disciplinary hearing has been concluded in relation to a charge of misconduct by Carlos Tevez.
The charge relates to events during the Champions League match against Bayern Munich on September 27, 2011.
Following a detailed investigation and associated hearing, a disciplinary panel has upheld the charge of misconduct. Five separate breaches of contract formed the basis of the decision by the panel.
As a result Carlos Tevez has been fined four weeks' wages and has been suspended for a period of two weeks (deemed to have already been served). He has received a written warning as to his future conduct.
All alone: Carlos Tevez
Carlos Tevez has been informed in writing of the decision of the disciplinary panel, and the club has written to the Professional Footballers Association for ratification of the fine.
The five contractual obligations found by the disciplinary panel to have been breached are:
1. An obligation to participate in any matches in which the player is selected to play for the club when directed by a club official.
2. An obligation to undertake such other duties and to participate in such other activities as are consistent with the performance of the player's duties and as are reasonably required of him.
3. An obligation to comply with and act in accordance with all lawful instructions of any authorised official of the club.
4. An obligation to observe the statutes and regulations of FIFA and UEFA, the FA Rules, the League Rules, the Code of Practice and the Club rules, including but not limited to breach of Rule E3(1) of the FA Rules (obligation on the player at all times to act in the best interests of the game and not act in any manner which is improper or which brings the game into disrepute).
5. An obligation not to knowingly or recklessly do anything or omit to do anything which is likely to bring the club or the game of football into disrepute or cause the player or the club to be in breach of the rules (as defined in the contract) or cause damage to the club.
Carlos Tevez has the right to appeal this decision to the board of the club. Any appeal must be made within 14 days.'


Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/

Alhamisi, 20 Oktoba 2011

BAADA YA UKAME WA MAGOLI, TORRES AIFUNGIA CHELSEA CHAMPIONS LEAGUE,GENK YACHAPWA 5-0.

Fernando Torres's prayers were answered as he scored his first Champions League goals for Chelsea in a thrashing of Genk.
The Spain striker, who was pictured before the game joining Brazilian team-mate David Luiz in apparent meditation, scored twice as Andre Villas-Boas’ team brushed aside their Belgian opponents to spark songs of praise at Stamford Bridge.
Contented manager Villas-Boas believes he now has Europe’s top strikeforce, declaring: ‘We are able to choose from the best up front. The choice fell with Torres and he responded pretty well.’

Blessed: Fernando Torres and David Luiz before Chelsea's win
Torres had not scored in 875 minutes in the competition since netting for Liverpool against Chelsea more than two years ago.
Raul Meireles, Branislav Ivanovic and Salomon Kalou scored Chelsea’s other goals as Villas-Boas’ side continued their unbeaten start and equalled their biggest home win in the competition.
The Chelsea manager admitted he is spoilt for choice with Torres, Didier Drogba, Nicolas Anelka, Daniel Sturridge and Romelu Lukaku to pick from.
‘I’m pretty pleased with the way the team played,’ said the Portuguese coach, who was able to select Torres for the first time since the striker’s sending-off against Swansea three weeks ago. 
‘It would have been a long period off (if Torres hadn’t played). It’s important players feel confident.
Villas-Boas, who has seen his side score 13 times in their last three matches, was happy to come through a match that he feels could have been a potential banana skin.
'To score two goals in the first 15 minutes, this put us in a very comfortable position," he said.
"It was a good display from everybody. I'm very happy with the performance, not only the way we played but the commitment of the team.
"This was a game that everyone expected us to win, and that's when surprises lie just round the corner. But we had the focus and put in a good performance.'
Another three points in Belgium next month would all but guarantee the club's qualification, but Villas-Boas is not getting carried away with talk of his team challenging for the Champions League trophy that Blues owner Roman Abramovich craves.
He said: 'With seven points, we go to Genk and the three over there would put us in a good position to qualify but this group could become very tight depending on what happens in Leverkusen with Valencia.
Doubling up: Torres (left) heads home his second goal at Stamford Bridge
Doubling up: Torres (left) heads home his second goal at Stamford Bridge
'The most important months for us will be the last three of the season, when you finally win or don't win trophies.
'For now, we're just aiming at our objectives. We want the best results as possible to get qualification through, and keep on track for going as far as we can in the competition.'
Genk boss Mario Been admitted Chelsea were a class apart from what his team could offer.
'They were on totally another level,' Been said.
'We gave them the goals too easily. We needed to keep a clean sheet for the first 20 minutes, but we were two down after 10 minutes.'
Meanwhile, goalkeeper Petr Cech hailed Chelsea's 'brilliant mentality'.
Cech told Sky Sports: 'We were very good, we put them under pressure, created chances and converted them clinically.

Jumamosi, 15 Oktoba 2011

LIVERPOOL 1 NA MANCHESTER UNITED 1, MECHI IMEISHA ANFIELD, ACHENI PRESHA.

NYASI ZA ANFIELD KUWAKA MOTO MUDA MFUPI UJAO KATI YA MAN U NA LIVERPOOL PREMIER LEAGUE.


United: De Gea; Smalling, Ferdinand, Evans, Evra; Park, Jones, Fletcher, Giggs, Young; Welbeck. Subs: Lindegaard, Anderson, Rooney, Hernandez, Carrick, Nani, Valencia.
Liverpool: Reina; Kelly, Carragher, Skrtel, Enrique; Kuyt, Lucas, Gerrard, Adam, Downing; Suarez. Subs: Doni, Agger, Carroll, Henderson, Spearing, Bellam, Robinson

Jumatatu, 10 Oktoba 2011

TAIFA STARS YAFUNGWA 3-1 NA MOROCCO.

Matokeo haya yamefifisha matumaini ya Stars kuendelea mbele kwa tiketi ya best looser ili kuingia kwenye kinyang'nyiro cha fainali ya kombe la mataifa huru ya Afrika hapo mwaka ujao.
Timu ya Tanzania katika mechi na Morocco Oktoba 9 mwaka jana ambapo tulifungwa pia.
Mpambano mkali(picha zote kutoka maktaba)



Jumanne, 4 Oktoba 2011

TAIFA STARS YASHINDWA KUTAMBA NYUMBANI MBELE YA ALGERIA.

Matumaini ya Tanzania kupata nafasi ya kushiriki fainali za kombe la mataifa ya Afrika mwakani yamezidi kuwa finyu kufuatia sare ya bao 1-1 na Algeria katika mechi iliyochezwa jijini Dar esa Salaam.

Timu zote mbili, Tanzania na Algeria zote zimejiweka kwenye wakati mgumu wa kusonga mbele kwani kila moja ina pointi tano wakati Morocco na Jamhuri ya Kati zina pointi saba saba kila moja.

Taifa Stars(picha ya maktaba)
Tanzania inashika nafasi ya tatu kutokana na tofauti kubwa ya magoli ya kufunga kulinganisha na Algeria.

Tanzania ilikuwa na uwezo wa kuifunga Algeria ambayo ilicheza kwa kujihami zaidi lakini washambuliaji wa Taifa Stars hawakuwa makini walipokuwa kwenye lango la Algeria na kupelekea kuzipoteza nafasi tatu za magoli ya waziwazi.

Taifa Stars ndiyo iliyoanza kuliona lango la Algeria kwenye dakika ya 22 kwa goli safi la Mbwana Samata ambaye aliunganisha vyema krosi iliyomiminwa na Nizar Khalfan.

Furaha ya Watanzania iliharibika kwenye kipindi cha pili pale Hameur Bouazza alipoisawazishia Algeria kwenye dakika ya 57 kufuatia makosa ya mabeki wa Taifa Stars.

Tanzania imebakiza mechi ngumu dhidi ya vinara wa kundi D, Morocco na mechi hiyo itachezwa nchini Morocco.

Katika muendelezo wa mechi za kundi hilo, Morocco itacheza leo jumapili na timu ya taifa ya Jamhuri ya Kati huku timu hizo zikiingia uwanjani zikiwa na matumaini makubwa ya kupata tiketi ya kushiriki fainali ya mataifa ya Afrika ambapo mechi zake zitachezwa kwenye nchi za Gabon na Equatorial Guinea

Alhamisi, 29 Septemba 2011

YANGA YAITUNGUA COASTAL UNION 5-0

Mchezaji wa Yanga Kenneth Assamoah akishangilia bao jana.
Davies Mwape akiruka vikwazo vya mabeki wa Coastal.

Alhamisi, 8 Septemba 2011

WADHAMINI VODACOM WAENDA SAMBAMBA NA YANGA KUHUSU RANGI NYEKUNDU.

Sued wa Mtibwa Sugar na Davies Mwape wa Yanga ndani ya jezi mpya ya wadhamini vodacom yenye nembo rangi nyeusi badala ya nyekundu iliyoleta mzozo.