Jumatano, 25 Mei 2011

BIRMINGHAM YAFUTA ZIARA YA TANZANIA.

City
Birmingham City

Birmingham City wameamua kufuta safari yao ya kwenda Tanzania.
City, ambao wameshuka daraja katika ligi kuu ya England msimu huu walikuwa wasafiri kwenda Tanzania kupambana na Simba ya Yanga katika mechi za kirafiki.
Hata hivyo watayarishaji walishindwa kuthibitisha utaratibu wa safari hiyo katika muda waliopewa.
Mabingwa hao wa kombe la Carling sasa wanatafuta nchi ya kwenda kucheza mechi za za kabla ya kuanza kwa msimu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni