Hatari zaidi katika mtandao
Utafiti uliofanywa kwa mapana kuhusiana na matumizi salama ya mtandao unathibitisha kwamba visa vya ulaghai na uhalifu vimezidi katika mitandao ya kijamii, kama vile Facebook.
![Facebook](http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2011/05/12/110512103032_facebook_leaks_226x170_bbc_nocredit.jpg)
Wahalifu wanavutiwa na mitandao ya kijamii
Waandishi wa BBC wanaelezea kwamba kutokana na umaarufu wa mitandao ya kijamii, sio ajabu kwamba sasa wahalifu wameanza kuangazia upande huo katika kuwalenga watumizi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni