Jumamosi, 21 Mei 2011

LEO NI KUMBUKIZI YA MIAKA 15 TOKEA NDUGU ZETU TAKRIBANI 800 WAPOTEZE MAISHA KWA AJALI YA MV BUKOBA HUKO ZIWA VICTORIA.

Mnara wa kumbukumbu, upo eneo walilozikwa wahanga wa ajali hiyo.

MV Bukoba ikiwa imeshazama tayari na kugeuka juu chini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni