Jumatatu, 8 Agosti 2011

WAISLAM WAFIKISHA CHUNGU CHA NANE RAMADHAN HUKU BEI YA BIDHAA IKIWA JUU, WAFANYABIASHARA TUWE NA UTU MWEZI UPITE.

Waislam wakiwa kwenye sala ya Ijumaa.
Wakinamama wakichagua mafungu ya viazi huko soko la Mwanakwerekwe Zanzibar, fungu moja linauzwa shilingi elfu mbili, ndizi aina ya mkono wa Tembo inasemekana zimefikia shilingi elfu nne kila moja, tutafika kweli jamani!!!?


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni