Jumatano, 17 Agosti 2011

BAHARI YA KUSINI TANZANIA, KIVUKONI MTWARA KWENYE MNADA WA SAMAKI.

Mdau wa blogu yetu leo yupo Mtwara, pwani ya Mtwara karibu na Bandari.

Mitumbwi ya wavuvi na abiria kuvukia Msanga Mkuu.

Eneo la mnada wa samaki, bei ni za kawaida tu.

Mnada ukiendelea.

Ngisi, Chaza na Tasi tayari wameshakaangwa kwa kuliwa, Mtwara raha.





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni