Ijumaa, 5 Agosti 2011

SEMINA YA UTAWALA BORA NDANI YA GHALA LA LINDI FARMERS NACHINGWEA JANA.

Mdau wa blogu yetu Hansom akiwa na meneja wa Lindi Farmers Ltd Danford Nguata wakijiandaa kutoa semina ya utawala bora kwa wadau wa mazao wilayani Nachingwea jana.
Afisa Ushirika wa wilaya kushoto. Mbaraka store keeper wa Lindi Farmers na Meneja wa kampuni ya Ulinzi ya SAJ mwenye kilemba. 
Mwenyekiti wa semina ndg Zablon, mwenye shati jeusi na tai.
Washiriki semina wakichangia mada.
Wadau wakisubiri semina ianze.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni