Jumapili, 5 Juni 2011

VIONGOZI NA BAADHI YA WAFUASI WA CHADEMA WAINGIA KITUO KIKUU CHA POLISI KUFUATILIA DHAMANA YA MWENYEKITI WAO. ULINZI MKALI WAIMARISHWA.

Wafuasi wa CHADEMA nje ya kituo kikuu cha polisi Dar es salaam

Mbunge wa Ubungo akiongea na waandishi wa habari

Wazee wa kazi wakiwa makini kwa lolote litakalotokea.

Profesa Abdallah Safari naye alikuwepo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni