Jumapili, 12 Juni 2011

MRADI WA MAJI NACHINGWEA UMEFIKIA HATUA NZURI,HONGERA CHIKAWE NA HALMASHAURI YAKO.



Shida ya maji iliyokuwa ikiwakabili wananchi wa wilaya ya Nachingwea kwa muda mrefu inaelekea kwisha baada ya juhudi za mbunge na wadau wengine kuzaa matunda kwani mradi wa utandazaji mabomba unaendelea vema.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni