Jumatano, 8 Juni 2011

MUSTAFA A. MKULLO AWASILISHA BAJETI YA SERIKALI YENYE MATUMAINI KIASI KWA WANANCHI. SOMA SEHEMU YA BAJETI HIYO..

Bajeti imewakumbuka hawa?

............ Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147;Mheshimiwa Spika, marekebisho ya mfumo wa kodi
j) Marekebisho madogo madogo katika baadhi ya sheria
za kodi;
k) Marekebisho ya Ada na Tozo Mbalimbali za Wizara,
Mikoa na Idara zinazojitegemea;
l) Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, ya
mwaka 2004;
A. Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani, SURA 148
75.
kuboresha uzalishaji katika Sekta za Kilimo, Mifugo, Viwanda,
Biashara na Utalii na kuziwezesha kuchangia zaidi kwenye pato
la Taifa, napendekeza kufanya marekebisho katika Sheria ya
Kodi ya Ongezeko la Thamani, SURA 148 kama ifuatavyo: -
Mheshimiwa Spika, ili kuhamasisha uwekezaji na
90
i)
vya Zana za kilimo zifuatazo:- fyekeo (threshers),
mashine za kukausha na kukoboa mpunga (rice dryers
and mills), mashine za kupandia mbegu (planters), na
matrekta ya kukokota kwa mkono (power tillers).
Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye Vipuri
ii)
cha kuku (NASCOR Pellet Feed). Hatua hii ina lengo la
kuhamasisha uwekezaji katika ufugaji wa kuku hapa
nchini;
Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye chakula
iii)
(Nylon Fishing Twine) zinazotumika kutengeneza nyavu
za kuvulia samaki. Hatua hii inalenga katika kupunguza
gharama za uzalishaji na kuendeleza sekta ya uvuvi hapa
nchini;
Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye nyuzi
iv)
vya mashine za kunyunyiza na kutifua udongo (sprayers
Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye vipuri
91
and harrows) na mashine za kupanda nafaka (grain
conveyors); na
v)
mauzo ya rejareja kwa bidhaa za ndani zinazouzwa kwa
abiria ambao sio raia wa Tanzania wanaosafiri nje ya
nchi. Utaratibu huu utaanza kutekelezwa kwa kuanzia na
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Kilimanjaro kwa mauzo ya thamani ya shilingi 400,000 na
zaidi. Utekelezaji wa utaratibu huu mpya utaanza rasmi
tarehe 1 Januari 2012.
76.
marekebisho katika Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani,
SURA 148 kwa nia ya kuongeza mapato na kuhamasisha
Mashirika na Taasisi mbalimbali ziweze kuchangia katika juhudi
za serikali za kuboresha huduma katika sekta ya elimu.
Kuanzisha utaratibu wa marejesho ya Kodi kwenyeMheshimiwa Spika, napendekeza pia kufanya
92
vi)
kwenye kuuza na kupangisha majengo ya kuishi ya
nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC);
Kuondoa msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani
vii)
uliokuwa unatolewa kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali
(Non Governmental Organizations). Hatua hii haitazihusu
Taasisi za Kidini (Religious Organizations); na
Kuondoa unafuu wa Kodi ya Ongezeko la Thamani
viii)
Mashirika yasiyo ya kiserikali (Non Governmental
Organizations) kwa vifaa vya matumizi binafsi ya
kawaida (household consumables) kama vile vyakula,
mavazi, na vifaa kama sabuni ambavyo vinatolewa
Kutoa unafuu wa Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa
93
msaada kwenye vituo mahsusi vya kulelea watoto yatima
na shule.
Hatua hizi katika Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa
pamoja zitaongeza mapato ya Serikali kwa kiasi cha
shilingi
B. Sheria ya Kodi ya Mapato, SURA 332
milioni 71,518.9.
77.
ya sheria ya Kodi ya Mapato, SURA 332 kama ifuatavyo: -
Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho
i)
wafanyakazi wa Serikali na wanaofanya kazi kwenye
Taasisi zinazopata ruzuku kutoka kwenye bajeti ya
Serikali..
Kusamehe kodi ya mapato kwenye posho wanazolipwa
94
ii)
kwa kutumia ndege za nje. Hatua hii inalenga katika
kuhamasisha mauzo ya samaki nje ya nchi.
Hatua hizi za Kodi ya Mapato zitapunguza mapato ya
Serikali kwa kiasi cha shilingi
C. Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147
Kufuta Kodi ya Zuio kwa usafirishaji wa samaki nje ya nchimilioni 20,287.5
78.
katika Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147 kama ifuatavyo:-
Mheshimiwa Spika, Napendekeza kufanya marekebisho
i)
kuendeshea mitambo kutoka shilingi 80 hadi shilingi 40
kwa lita ili kupunguza gharama za uzalishaji wa bidhaa
hapa nchini;
Kupunguza ushuru wa bidhaa kwenye mafuta mazito ya
95
ii)
120 kwenye mifuko ya plastiki za microns 30 na zaidi
yaani Polymers of ethylene na nyinginezo za (HS. Code
3923.2900).
Kutoza ushuru wa bidhaa wa asilimia 50 badala ya asilimia
iii)
bidhaa mbalimbali isipokuwa zile za mafuta ya Petroli
kama ifuatavyo: -
a) Vinywaji baridi kutoka shilingi 63 kwa lita hadi shilingi 69
kwa lita;
b) Bia inayotengenezwa na nafaka ya hapa nchini na ambayo
haijaoteshwa, kutoka shilingi 226 kwa lita hadi shilingi 249
kwa lita;
c) Bia nyingine zote, kutoka shilingi 382 kwa lita hadi shilingi
420 kwa lita;
Kurekebisha kwa asilimia 10 viwango vya Ushuru wa
96
d) Mvinyo uliotengenezwa kwa zabibu inayozalishwa nje ya
nchi kwa kiwango kinachozidi asilimia 25, kutoka shilingi
1,223 kwa lita hadi shilingi 1,345 kwa lita;
e) Mvinyo uliotengenezwa kwa Zabibu inayozalishwa hapa
nchini kwa kiwango kinachozidi asilimia 75 utatozwa
shilingi 420 kwa lita; na
f) Vinywaji vikali, kutoka shilingi 1,812 kwa lita hadi shilingi
1,993 kwa lita.
(iv) Kurekebisha viwango vya Ushuru wa bidhaa kwenye
sigara kama ifuatavyo: -
a) Sigara zisizo na kichungi na zinazotengenezwa kutokana na
tumbaku inayozalishwa hapa nchini kwa kiwango cha
angalau asilimia 75, kutoka shilingi 6,209 hadi shilingi
6,830 kwa sigara elfu moja;
97
b) Sigara zenye kichungi na zinazotengenezwa kutokana na
tumbaku inayozalishwa hapa nchini kwa kiwango cha
angalau asilimia 75, kutoka shilingi 14,649 hadi shilingi
16,114;
c) Sigara nyingine zenye sifa tofauti na (a) na (b) kutoka
shilingi 26,604 hadi shilingi 29,264 kwa sigara elfu moja;
d) Tumbaku ambayo iko tayari kutengeneza sigara (cut filler)
kutoka shilingi 13,436 hadi shilingi 14,780 kwa kilo; na
e) Ushuru wa (Cigar) unabaki asilimia 30.
Hatua hizi katika Ushuru wa Bidhaa kwa pamoja
zinatarajiwa kuongeza mapato ya Serikali kwa kiasi cha shilingi
milioni 99,521.5
98
D. Sheria ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, SURA 82
79.
kwenye sheria ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, SURA 82
kama ifuatavyo:
Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho
i)
yatokanayo na tozo ya kuendeleza ufundi stadi (Skills
Development Levy) ya asilimia 6 ili asilimia 4 zipelekwe
kwenye Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu,
na asilimia 2 zipelekwe Mamlaka ya Elimu na Mafunzo
ya Ufundi Stadi (Vocational Education and Training
Authority - “VETA”). Lengo la hatua hii ni kuongeza
fedha za mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu.
Hatua hii katika Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
haitarajiwi kupunguza wala kuongeza mapato ya
Serikali.
Kufanya marekebisho katika mgawanyo wa mapato
99
E. Sheria ya Ushuru wa Stempu, SURA 189
80.
ya Ushuru wa Stempu, SURA 189 kama ifuatavyo: -
Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho
i)
(Asset) unapohamishiwa katika chombo maalum
(Kampuni) cha kutekeleza na kusimamia uzalishaji wa
kipato (Special Purpose Vehicle “SPV”) kwa madhumuni
ya kutoa dhamana zinazotegemea hiyo mali ambayo
umiliki wake umehamishwa. Hatua hii inalenga katika
kuhamasisha miradi ya uwekezaji inayohitaji fedha
nyingi, mfano; miradi ya barabara, madaraja, nishati na
maji. Aidha, ni njia mbadala ya mabenki ya upatikanaji
wa fedha za kugharamia miradi.
Hatua hii ya ushuru wa stempu haitapunguza mapato
ya Serikali bali inalenga katika kuhamasisha utunzaji wa
Kusamehe ushuru wa stempu wakati umiliki wa mali
100
akiba na kuchochea uwekezaji (Savings Mobilization and
Investment Promotion).
F. Sheria ya Ushuru wa Mafuta ya Petroli, SURA 220
81.
katika Sheria ya Ushuru wa mafuta ya petroli, SURA 220 kama
ifuatavyo:
Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho
i)
mafuta yanayotumika kwenye kuendesha meli, na vifaa
vingine vinavyotumika katika utafiti wa mafuta na gesi na
msamaha huu utatolewa kupitia Tangazo la Serikali. Aidha,
maombi ya msamaha yatahakikiwa na kupitishwa na Shirika
la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kabla ya
kuwasilishwa Wizara ya Fedha. Hatua hii inalenga katika
kutoa unafuu wa gharama kwa Kampuni zinazofanya utafiti
wa mafuta na gesi.
Kusamehe Ushuru wa Mafuta ya Petroli unaotozwa kwenye
101
ii)
refunds) kwenye mafuta yanayonunuliwa na Kampuni za
madini, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) itaanzisha
utaratibu wa kuweka kiasi cha fedha kwenye Akaunti
maalum (escrow account) ambacho kinawiana na kiwango
cha mahitaji ya mafuta kwa mwezi. Aidha Kampuni
itaruhusiwa kununua mafuta kwenye matanki ya Kampuni za
waagizaji wa mafuta bila ya kulipia kodi kwa kiwango cha
fedha ilichoweka kwenye akaunti. Endapo mahitaji ya mafuta
kwa mwezi yatakuwa makubwa zaidi ya kiwango ilichoweka
kwenye akaunti, Kampuni hiyo itawajibika kuongeza fedha za
ziada zenye kukidhi mahitaji yake. Hatua hii inatarajiwa
kutatua tatizo la ucheleweshaji wa marejesho ya kodi
iliyolipwa kwenye mafuta.
Ili kutatua tatizo la ucheleweshaji wa marejesho ya kodi (tax
102
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) itaandaa utaratibu wa
utekelezaji utakaohusisha kampuni za madini na kampuni za
mafuta.
Hatua hizi kwa pamoja zitapunguza mapato ya Serikali kwa
shilingi
G. Sheria ya Leseni ya Biashara, SURA 208
milioni 2,007.6
82.
katika Sheria ya Leseni ya Biashara, SURA 208 ili kutoza ada ya
leseni ya biashara kwa viwango na maeneo yafuatayo: -
a) Mamlaka za Miji (Majiji, Manispaa na Miji) zitoze shilingi
50,000 kwa mwaka kwa kila aina ya biashara inayostahili
Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho
103
kupewa leseni ya biashara (isipokuwa ya vileo)
inayoendeshwa katika maeneo ya mamlaka hizo.
b) Halmashauri za Wilaya zitoze na kukusanya Ada ya leseni
ya biashara ya shilingi 30,000 kwa mwaka kwa biashara
zinazoendeshwa katika maeneo ya miji midogo na vituo
vya biashara.
c) Halmashauri za vijiji zitoze na kukusanya shilingi 10,000
kwa mwaka kwa kila biashara inayoendeshwa katika
maeneo yake.
Lengo la hatua hii ni kuimarisha usimamizi wa Kanuni za
biashara hapa nchini na kuwianisha ukuaji wa biashara na
mapato yanayokusanywa. Pia itaongeza mapato kwa
Serikali za Mitaa na kuongeza uwezo katika kuhimili
mahitaji yao. Aidha, utekelezaji wa hatua hii unazingatia
Sera ya Serikali ya ugatuaji madaraka kwa wananchi
(Decentralization by Devolution “D by D”).
104
H. Sheria ya Fedha ya Serikali za Mitaa, SURA 290
83.
katika Sheria ya Fedha ya Serikali za Mitaa SURA 290 ili
kuziwezesha Serikali za Mitaa kutoza ada ya leseni ya biashara
kwa viwango na maeneo yaliyoainishwa kwenye sheria ya leseni
ya biashara.
Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho
I. Sheria ya Usalama Barabarani, SURA168
84.
Sheria ya Usalama Barabarani, Sura, 168 ili kuongeza ukomo wa
kiwango cha faini inayotozwa kwa kufanya makosa wakati wa
uendeshaji gari barabarani (Traffic Notification Fee) kutoka
shilingi 20,000 hadi shilingi 300,000.
Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho ya
105
J. Marekebisho madogo madogo katika baadhi ya Sheria
za Kodi
85.
mengine madogo madogo yasiyo ya kisera katika Sheria
mbalimbali za kodi ili ziwe sanjari na azma ya kurahisisha
utekelezaji wake.
Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho
K. Marekebisho ya Ada na Tozo Mbalimbali za Wizara,
Mikoa na Idara zinazojitegemea.
86.
ya viwango vya ada na tozo mbali mbali zinazotozwa na Wizara,
Mikoa na Idara zinazojitegemea ili kuvihuisha kulingana na hali
halisi ya ukuaji wa uchumi.
Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho
106
L. Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, ya
mwaka 2004
87.
Mawaziri wa Fedha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (Pre-Budget
Consultations of EAC Ministers for Finance) kilichofanyika tarehe
7 Mei 2011 jijini Kampala, Uganda; kilipendekeza marekebisho
ya viwango vya Ushuru wa pamoja wa Forodha (EAC Common
External Tariff “CET”) na Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika
Mashariki (EAC Customs Management Act, 2004). Marekebisho
hayo yanalenga katika kukuza Sekta za Viwanda, Usafirishaji,
Mifugo, Biashara na Utalii. Aidha yanalenga pia katika kuboresha
afya ya jamii na kuimarisha ulinzi na usalama wa raia na mali
zao.
Mheshimiwa Spika, kikao cha maandalizi ya Bajeti cha
107
88.
kufanyiwa marekebisho kwenye viwango vya Ushuru wa Pamoja
wa Forodha (EAC Common External Tariff) ni yafuatayo:-
i) Tanzania iruhusiwe kutoza ushuru wa forodha wa
asilimia 10 badala ya asilimia 35 kwenye ngano
inayotambuliwa katika HS Code 1001.90.20 na HS
Code 1001.90.90 kwa muda wa mwaka mmoja. Lengo
la hatua hii ni kupunguza gharama za uingizaji nchini
wa bidhaa hiyo na kuwezesha walaji kupata vyakula
kwa bei nafuu.
ii) Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha (duty
remission) kwenye malighafi ya kutengeneza sabuni
(Palm Stearin, RBD) inayotambuliwa katika HS Code
1511.90.40 kwa kipindi cha mwaka mmoja. Hatua hii
inalenga kutoa unafuu wa kodi kwenye viwanda
Mheshimiwa Spika, maeneo yanayopendekezwa
108
vidogo na vya kati vya kutengeneza sabuni hapa
nchini.
iii) Kutenganisha malighafi zinazotambulika katika HS
Code 2710.19.59 ili kutoa msamaha wa ushuru wa
forodha (duty remission) kwenye malighafi za
kutengeneza manukato na sabuni (white oil). Hatua
hii inalenga katika kupunguza gharama za uzalishaji
viwandani.
iv) Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha (duty
remission) kwenye malighafi za kutengeneza maganda
ya viberiti (duplex boards) yanayotambuliwa katika HS
Code 4810.92.00. Hatua hii inalenga katika kupunguza
gharama za uzalishaji na kulinda Viwanda vya Viberiti
kutokana na ushindani wa viberiti vinavyoagizwa nje.
109
v) Kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10 badala ya
asilimia 0 kwenye waya za chuma ambazo
zimenakisiwa na zink (Galvanized Plated/Coated Wire),
zinazotambuliwa katika HS Code 7217.20.00 kwa kuwa
waya ambazo hazikunakisiwa (Non Plated/Coated
Wire) hutozwa ushuru wa forodha wa asilimia 10.
Lengo la hatua hii ni kuwianisha ushuru wa malighafi
inayotumika kuzalisha bidhaa hii ili iendane na
kanuni/taratibu za kutoza ushuru zinazozingatia
viwango vya usindikaji.
vi) Kupunguza ushuru wa forodha kwenye mifuko ya
plastiki ya kuhifadhia malighafi za matunda (aseptic
bags) kutoka asilimia 25 hadi asilimia 10
inayotambuliwa katika HS Code 3923.29.00 kwa
kipindi cha mwaka mmoja ili kupunguza gharama za
110
uzalishaji na kuhamasisha usindikaji wa mazao ya
matunda hapa nchini.
vi) Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha (duty
remission) kwa kipindi cha mwaka mmoja kwenye shaba
ghafi (copper Cathodes) inayotambuliwa katika HS Code
7403.11.00. Hivi sasa bidhaa hii inatozwa ushuru wa
asilimia 10 ambapo shaba iliyotengenezwa kwa ukamilifu
(copper alloys/refined copper) hutozwa ushuru wa
asilimia 0, ambapo ni kinyume na matakwa ya sheria ya
ushuru wa forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya
mwaka 2004. Lengo la hatua hii ni kuwianisha ushuru wa
malighafi inayotumika kuzalisha bidhaa hii ili iendane na
kanuni/taratibu za kutoza ushuru zinazozingatia viwango
vya usindikaji.
111
viii) Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha (duty
remission) kwa waunganishaji wa majokofu
(refrigerators and freezers) ili walipe ushuru wa
forodha wa asilimia 10 badala ya asilimia 25 kwenye
vifaa vya kuunganisha majokofu hayo (component
parts and inputs for assemblers of refrigerators and
freezers). Hatua hii inalenga katika kuhamasisha
uzalishaji wa bidhaa hizo na kuongeza ajira hasa kwa
vijana.
ix) Kutenganisha malighafi zinazotambulika katika HS
Code 2309.90.00 ili kutoa msamaha wa ushuru wa
forodha kwenye malighafi za kutengeneza vyakula vya
mifugo (premixes). Lengo ni kutoa unafuu katika bei
za chakula cha mifugo na kuhamasisha ufugaji.
x) Kuendelea kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10
badala ya asilimia 25 kwenye mabasi yenye uwezo wa
112
kubeba abiria zaidi ya 25 yanayotambuliwa katika HS
Code 8702.10.99 na HS Code 8702.90.99.
xi) Kuendelea kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10
badala ya asilimia 25 kwenye magari ya mizigo yenye
uwezo kati ya tani 5 na tani 20 yanayotambuliwa
katika HS Code 8704.22.90 kwa muda wa mwaka
mmoja.
xii) Kuendelea kutoa msamaha wa ushuru wa forodha
kwenye magari ya mizigo yenye uwezo zaidi ya tani 20
yanayotambuliwa katika HS Code 8704.23.90 kwa
muda wa mwaka mmoja.
xiii) Kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10 badala ya
asilimia 25 kwenye mabasi yatakayoagizwa kwa ajili ya
mradi wa mabasi wa jiji la Dar es Salaam
yanayotambuliwa katika HS Code 8702.10.99 na HS
Code 8702.90.99 kwa muda wa mwaka mmoja.
113
(xiv) Kutenganisha bidhaa zinazotambulika katika HS Code
8703.90.10 ili kutoa msamaha wa ushuru wa forodha
kwenye pikipiki maalumu za kubeba wagonjwa
(motorcycle ambulances). Hatua hii inalenga
kuimarisha utoaji wa huduma ya kusafirisha wagonjwa
hasa katika maeneo ya vijijini.
xv) Kutenganisha virutubisho vya chakula
vinavyotambulika katika HS Code 2106.90.90 ili kutoza
ushuru wa forodha wa asilimia 10 badala ya asilimia
25 kwenye virutubisho vya vyakula vya binadamu
(food supplements) ili kuendana na Sera ya Serikali ya
kuboresha afya za wananchi.
xvi) Kutenganisha bidhaa zinazotambulika katika HS Code
9616.10.00 ili kutoza ushuru wa forodha wa asilimia
10 badala ya asilimia 25 kwenye malighafi za
114
kutengeneza vifaa vya kunyunyizia (scent sprays and
other similar toilet sprays and mounts and heads).
(xvii) Kuendelea kutoa msamaha wa ushuru wa forodha
kwenye matrekta ya kukokota mizigo
yanayotambuliwa katika HS Code 8701.20.90 kwa
muda wa mwaka mmoja. Hatua hii inalenga katika
kuboresha usafirishaji mizigo na kuongeza ufanisi
katika Sekta ya usafirishaji.
(xviii) Kuendelea kutoa msamaha wa ushuru wa forodha
kwenye migahawa ya Majeshi ya Ulinzi kwa kipindi cha
mwaka mmoja.
89.
kufanya marekebisho kwenye Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya
Afrika Mashariki (EAC Customs Management Act, 2004) kama
ifuatavyo:-
Mheshimiwa Spika, Mawaziri wa Fedha walikubaliana
115
i)
Tano la Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ili
kuliwezesha Jeshi la Polisi kunufaika na msamaha wa ushuru wa
forodha kama linavyonufaika Jeshi la Ulinzi. Hatua hii inalenga
katika kuimarisha usalama wa raia na mali zao.
Kufanya marekebisho katika kifungu cha pili (2) cha Jedwali la
ii)
Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa nia ya kutekeleza
yafuatayo:
a) Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye mitego
ya mbung’o (tsetse fly traps). Hatua hii inalenga katika
kuchochea ukuaji wa kilimo na kuboresha mazingira ya
kuvutia utalii hapa nchini.
b) Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye vifaa vya
kudhibiti usalama (security equipments: - hand held
metal detectors, walk through metal detectors, CCTV
cameras, bomb detectors and undercarriage mirrors).
Kufanya marekebisho katika Jedwali la Tano (5) la Sheria ya
116
Hatua hii inalenga katika kuboresha usalama wa raia na
mali zao.
c) Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye magari
yanayoendeshwa kwa kutumia beteri (battery operated
vehicles/Golf carts). Hatua hii itaimarisha huduma za
kitalii na huduma za afya kwani magari haya yanaweza
kutumika kubeba wagonjwa ndani ya hospitali na kubeba
wageni na mizigo katika maeneo ya hoteli.
d) Kutoa msamaha wa Ushuru wa forodha kwenye magari
yanayotumika kubeba abiria katika viwanja vya ndege
(Apron buses) ili kuboresha huduma kwa wasafiri na
kuweka mazingira yenye kuvutia wageni na hasa watalii.
e) Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye malighafi
za kutengeneza vifaa vinavyotumia mionzi ya jua (inputs
for manufacture of solar panels) kwa lengo la
kuhamasisha uzalishaji wa vifaa hivyo hapa nchini.
117
f) Kupunguza kiwango cha ada ya ukaguzi (Destination
Inspection Fee) kinachotozwa kwenye bidhaa za biashara
zinazotoka nje kutoka asilimia 1.2 ya thamani ya huduma
ya kuzifikisha hadi bandarini (FOB) na kuwa asilimia 0.6.
Hatua hii inalenga katika kupunguza muda wa kuondoa
mizigo bandarini na kupunguza gharama za uingizaji
bidhaa na hivyo kupunguza bei za bidhaa kutoka nje.
Hatua hizi kwa pamoja zinatarajiwa kupunguza mapato ya
Serikali kwa kiasi cha shilingi
M. Tarehe ya Kuanza Kutekeleza Hatua Mpya za Kodi
milioni 4,669.7
90.
zitaanza kutekelezwa tarehe 1 Julai, 2011, isipokuwa pale
ilipoelezwa vinginevyo.
Mheshimiwa Spika, hatua hizi za kodi zinazopendekezwa
118
MFUMO WA BAJETI KWA MWAKA 2011/12:
91.
pamoja na misingi na sera za bajeti, SURAya Bajeti
inaonesha kwamba jumla ya shilingi bilioni 13,525.9
zinahitajika kutumika katika kipindi cha 2011/12. Jumla ya
mapato yanayotarajiwa ni shilingi bilioni 13,525.9. Kati ya
mapato hayo, Serikali inalenga kukusanya mapato ya kodi na
yasiyo ya kodi ya jumla ya shilingi bilioni 6,775.9, sawa na
asilimia 17.2 ya Pato la Taifa. Aidha, mapato kutoka vyanzo
vya Halmashauri ni shilingi bilioni 350.5. Kadhalika, Serikali
inategemea kukopa kiasi cha shilingi bilioni 2,475.9 kutoka
vyanzo vya ndani na nje. Kati ya fedha hizo, shilingi bilioni
810.9 ni kwa ajili ya kulipia hatifungani na dhamana za
Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia sera za uchumi
119
Serikali zinazoiva, shilingi bilioni 393.4 ni mikopo kutokana
na mauzo ya hatifungani za Serikali na shilingi bilioni 1,271.6
zitatokana na mikopo yenye masharti ya kibiashara.
92.
wanatarajiwa kuendelea kuchangia bajeti kupitia misaada na
mikopo ya jumla ya shilingi bilioni 3,923.6. Kati ya fedha
hizo, shilingi bilioni 869.4 ni misaada na mikopo ya kibajeti
na shilingi bilioni 3,054.1 ni misaada na mikopo kwa ajili ya
miradi ya maendeleo, ikijumuisha mifuko ya kisekta.
93.
mwaka 2011/12 Serikali imepanga kutumia jumla ya shilingi
bilioni 13,525.9 kwa matumizi ya kawaida na maendeleo.
Kati ya fedha hizo, kiasi cha shilingi bilioni 8,600.3
Mheshimiwa Spika, washirika wa MaendeleoMheshimiwa Spika, kwa upande wa matumizi, katika
120
kimetengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, ikijumuisha
shilingi bilioni 3,270.3 kwa ajili ya mishahara ya watumishi
wa Serikali, taasisi na wakala za Serikali na shilingi bilioni
1,910.4 kwa ajili ya Mfuko Mkuu wa Serikali. Aidha, jumla ya
shilingi bilioni 4,925.6 zimetengwa kwa ajili ya miradi ya
maendeleo, ambapo shilingi bilioni 1,871.5 ni fedha za ndani
na shilingi bilioni 3,054.1 ni fedha za nje.
94.
wa Bajeti yaliyotolewa hapo juu, Sura ya Bajeti kwa mwaka
2011/12 itakuwa kama ifuatavyo:
Mheshimiwa Spika, kutokana na maelezo ya mfumo
121
Mapato Shilingi milioni
A:
(i) Mapato ya Kodi (TRA) 6,228,836
(ii) Mapato Yasiyo ya Kodi 547,116
Mapato ya Ndani 6,775,952
B:
Mapato ya Halmashauri 350,496
C:
Mikopo na Misaada ya Nje 3,923,551
D:
Mikopo ya Ndani 1,204,262
E:
Mikopo ya Masharti ya Kibiashara 1,271,634
JUMLA YA MAPATO YOTE 13,525,895
F:
(i) Mfuko Mkuu wa Serikali 1,910,376
(ii) Mishahara 3,270,292
(iii)Matumizi Mengineyo 3,419,619
Wizara 2,727,472
Mikoa 49,981
Halmashauri 642,166
Matumizi ya Kawaida 8,600,287
G:
(i) Fedha za Ndani 1,871,471
(ii)Fedha za Nje 3,054,137
Matumizi ya Maendeleo 4,924,608
JUMLA YA MATUMIZI YOTE 13,525,895
122
HITIMISHO:
95.
mwendelezo wa juhudi za Serikali za kuwaletea maendeleo
wananchi. Bajeti hii imezingatia:
i) Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025;
ii) Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini
Awamu ya Pili (MKUKUTA II);
iii) Malengo ya Maendeleo ya Milenia 2015;
iv) Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010-2015;
v) Mkakati wa Pamoja wa Misaada Tanzania (MPAMITA);
vi) Mkakati wa Taifa wa Madeni; na
vii) Sera za Kijumla za Uchumi kwa mwaka 2011/12.
96.
zaidi, kila mwananchi anapaswa kujituma na kushiriki kikamilifu,
Mheshimiwa Spika, Bajeti ya mwaka 2011/12 niMheshimiwa Spika, ili kufikia malengo hayo mapema
123
kwa kutumia fursa zilizopo za kuzalisha mali na kujiongezea
kipato. Ni matumaini yangu kuwa utekelezaji sahihi wa Bajeti hii
utaiwezesha Serikali kuwaletea wananchi maendeleo
tunayokusudia. Bajeti ya mwaka 2011/12 imeandaliwa katika
kipindi ambacho nchi yetu inakabiliwa na changamoto ya
kiuchumi ikiwemo upungufu wa umeme na ongezeko la bei za
mafuta katika soko la dunia. Hali hii imetishia ustawi wa uchumi
na uwezo wa kukusanya mapato ya ndani. Serikali imejipanga
kukabiliana na changamoto hizi, ikiwa ni pamoja na kuharakisha
miradi ya uzalishaji umeme na uanzishwaji wa hifadhi kubwa ya
mafuta yanayoagizwa. Wakati Serikali ikichukua hatua hizi,
wananchi wanaombwa kuanza kutumia kwa uangalifu vyanzo
hivyo vya nishati, ili kupunguza gharama. Hivyo, ni matumaini ya
Serikali kwamba bajeti ya mwaka 2011/12 itatekelezwa kama
ilivyopangwa.
124
97.
imedhamiria kwa dhati kuendeleza misingi imara ya kujenga
uwezo katika kukusanya mapato ya ndani. Hili litawezekana kwa
kuwekeza katika vichocheo vya ukuaji uchumi ili kuongeza wigo
wa mapato ya ndani kwa lengo la kutuongezea uwezo wa
kujitegemea. Kama nilivyoeleza hapo awali, maeneo yafuatayo
ya kimkakati yatazingatiwa katika mgao wa rasilimali katika
muda wa kati: nishati ya umeme; reli, bandari; TEHAMA; maji;
kilimo na kulinda mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya elimu
na afya. Hivyo basi, hatuna budi kila mmoja wetu na kwa
pamoja kuongeza ubunifu katika uzalishaji wenye tija
utakaoongeza Pato la Taifa na hatimaye kuondokana na
umaskini.
Mheshimiwa Spika, Serikali ya Awamu ya Nne,
125
98.
Waheshimiwa Wabunge wa Kamati ya Fedha na Uchumi na
Kamati nyingine za Kisekta. Pia, imezingatia mawazo na
mapendekezo ya wadau mbalimbali, wakiwemo
wafanyabiashara, wenye viwanda, sekta ya kilimo, utalii na
wengine wengi. Nawashukuru wote hao kwa mawazo na ushauri
wao.
99.
wapiga kura wangu wote wa Jimbo la Kilosa kwa kunichagua
tena kuwa Mbunge wao kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
Napenda kuwaahidi kwamba tutashirikiana pamoja kuliletea
maendeleo Jimbo letu la Kilosa. Ninaamini kwamba
sitawaangusha. Mwisho nachukua pia nafasi hii kumshukuru
kipekee mke wangu mpendwa kwa kuwa msaada mkubwa
kwangu.
Mheshimiwa Spika, bajeti hii imezingatia ushauri waMheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kuwashukuru126

d) Sheria ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, SURA 82;
e) Sheria ya Ushuru wa Stempu, SURA 189;
f) Sheria ya ushuru wa Mafuta ya Petroli, SURA 220;
g) Sheria ya Leseni za Biashara, SURA 208;
h) Sheria ya Fedha ya Serikali za Mitaa, SURA 290;
i) Sheria ya Usalama Barabarani, SURA 168.

89

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni