Jumanne, 21 Juni 2011

HIVI HIZI ATM ZINAFANYA KAZI MASAA 24 KWA SIKU KAMA WANAVYOSEMA AU!? INASEMEKANA KILA JIONI HUWA ZINAZIMA MASAA KADHAA, KWELI?

NMB Nachingwea mida ya jioni mambo ni yaleyaleeee.....

Hawa nao kabla muhamala haujakamilika walitoka nje mara kadhaa, mimi nilitaka kamili nikapata nusu ya nilichokiomba, tutafika tu msijali!

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni