Jumanne, 7 Juni 2011

NDUNDU - SOMANGA NOMA. KUNA KIPANDE KAMA CHA MITA MIA HIVI KIMEOZA KISHENZI CHIN, MDAU WENU WA BLOGU HII YUPO LINDI KIKAZI NA ATAKUWA AKIRUSHA VITU VYETU TOKEA HUKO KUANZIA SASA.

Safari ikianza alfajiri ya leo Ubungo

Basi la Akida ambalo mdau alikuwa ndani yake likiwa limekwama maeneo ya Somanga leo, Mwarami ambaye ni kondakta wa basi hilo akipunguza tope ili safari iendelee. 

Stendi kuu ya mabasi Lindi mjini leo mchana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni