Alhamisi, 3 Novemba 2011

OMARI TEGO NA KUNDI ZIMA LA COAST MODERN TAARAB WAPAGAWISHA NACHINGWEA JANA.

Kiongozi wa kundi Omari Tego.
Kundi likiwa kazini. 
Shabiki akipiga picha na muimbaji wa kike wa kundi hilo.
Kundi la Taarab la Coast toka Dar es salaam lipo katika ziara maalum ya mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara. Juzi walikuwa wilayani Liwale, jana Nachingwea katika ukumbi wa NR ambapo umati wa watu ulifurika kuburudika na kundi hilo linaloongozwa na Al-Ustaadh Omari Tego, leo jioni kundi hilo litakuwa wilayani Rwangwa.




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni