KARIBU KATIKA BLOGU HII YA KUELIMISHA, KUBURUDISHA NA KUONYA KUPITIA MADA MBALIMBALI NA HATA PICHA. ONGEZA MAHUSIANO KWA KUJUMUIKA NA WENZIO HAPA.UNAWEZA TUMA PICHA NA MAELEZO KWA ANUANI HII;mkuu74@gmail.com
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo TAARAB. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo TAARAB. Onyesha machapisho yote
Jumatatu, 9 Januari 2012
Alhamisi, 29 Desemba 2011
MALKIA WA MIPASHO AL ANISA HADIJA KOPA KUTUMBUIZA NACHINGWEA LINDI MWAKA MPYA TAREHE 02.

Malkia Hadija Kopa.
Kundi zima la TOT Taarab chini ya uongozi wa Al Anisa Khadija Bint Kopa linatarajiwa kutumbuiza mjini Nachingwea siku ya pili baada ya mwaka mpya kuingia yaani tarehe 02/01/2012 ikiwa ni shamrashamra za kuukaribisha mwaka 2012 katika Ukumbi maarufu wa Nachingwea Resort (NR).Wakati wakazi wa Nachingwea wakisubiri kwa hamu kumuona Malkia na kundi lake la TOT, kwa sasa Hadija yupo katika ziara ya nchi kadhaa za Ulaya, lakini kwa mujibu wa waandaaji wa ziara hiyo,wamesema hilo lisiwatishe na wana uhakika kuwa Hadija atakuwepo siku hiyo ili kuwaburudisha.
Jumapili, 6 Novemba 2011
HADIJA KOPA ALIVYOWAPAGAWISHA MASHABIKI WA TAARAB UINGEREZA.
Khadija Kopa aliondoka Uingereza kuelekea Nairobi nchini Kenya kwa shoo nyingine ya taarabu huku nyuma akiacha gumzo jinsi alivyoweza kulitawala jukwaa na kufanya manjonjo mengi ambayo yaliwafanya watu wapagawe.
| Hadija Kopa akipokelewa na wenyeji wake Uingereza katika Uwanja wa Earthrow mwezi uliopita mwishoni. |
Khadija Kopa aliimba zaidi ya nyimbo 10 zikiwemo nyimbo zake zinazotamba nchini Tanzania pamoja na nyimbo mpya toka kwenye albamu yake mpya ya "Full Stop
Mashabiki wakifurahi.
Alhamisi, 3 Novemba 2011
OMARI TEGO NA KUNDI ZIMA LA COAST MODERN TAARAB WAPAGAWISHA NACHINGWEA JANA.
Kiongozi wa kundi Omari Tego.
Kundi likiwa kazini.
Shabiki akipiga picha na muimbaji wa kike wa kundi hilo.
Kundi la Taarab la Coast toka Dar es salaam lipo katika ziara maalum ya mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara. Juzi walikuwa wilayani Liwale, jana Nachingwea katika ukumbi wa NR ambapo umati wa watu ulifurika kuburudika na kundi hilo linaloongozwa na Al-Ustaadh Omari Tego, leo jioni kundi hilo litakuwa wilayani Rwangwa.
Jumapili, 1 Mei 2011
TOT TAARAB IKIFANYA VITU VYAKE JUMATATU YA PASAKA DECCA INN BOKO
Bibie Rukia Juma akiimba na kundi lake la TOT, utu uzima dawa kweli, huyu ni mama mzazi wa mwimbaji mwingine maarufu wa taarab aitwae Isha Ramadhan.(Mashauzi)
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)








