Jumamosi, 12 Novemba 2011

SAFARI YA KUSINI, HALI MBAYA YA BARABARA MAENEO YA NANGURUKURU.

Basi likishindwa kuendelea na safari kutokana na utelezi maeneo ya Nangurukuru Kilwa sehemu ambayo kuna matengenezo ya barabara na magari kupita pembeni(dirvesion), kasoro za barabara hizo ni kuwa hazijaimarishwa hivyo ikinyesha mvua kidogo tu magari hayapandi milima sababu ya utelezi.
Hii ni barabara inayorekebishwa na wengine waliamua kupita huku baada ya njia nyingine kutokupitika kwa msongamano
Safari ni hatua, baadae gari yetu iliharibika, Msafiri kafiri.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni