Jumatatu, 21 Novemba 2011

WADAU TUMERUDI TENA HEWANI BAADA YA SAFARI YA ARUSHA, KOZI IMEISHA.

Hansom
Colman
Sang'wa.
Ndani ya Ukumbi Hotel Naura Springs Arusha.
Naftal.
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu mafunzo yetu  yameisha salama na wadau tumerudi majumbani kwetu na ujuzi huu tulioupata wa baadhi ya sheria za Tanzania tutautumia kwa faida ya Taifa zima na Watu wote wenye mahitaji, Shukurani kwa waandaaji na wafadhili wa mafunzo haya. Tchao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni