Jumanne, 29 Novemba 2011

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA VIONGOZI WA TAKUKURU WAFUNGULIWA NA MAKAMU WA RAIS HUKO TANGA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Viongozi wa Takukuru Mkoani Tanga Novemba 28. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dkt. Edward Hosea (kushoto) ni Waziri wa Ofisi ya Rais-Utawala Bora, Mathias Chikawe.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Takukuru,Dkt. Edward Hosea, wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Viongozi wa Takukuru, uliofanyika Mkoani Tanga leo Novemba 28. Kushoto ni Waziri wa Ofisi ya Rais- Utawala Bora, Mathias Chikawe.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watendaji wa Takukuru.
 
Credits;http://www.dkbilal2010.blogspot.com/

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni