Jumatatu, 28 Novemba 2011

MZEE 'RUKSA' ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI OUT JUZI.

Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Mh. John Malekela akimtunuku Shahada ya Heshima ya Udaktari Rais wa zamani wa Tanzania Mh. Ali Hassan Mwinyi almaarufu Mzee Ruksa katika Mahafali ya 23 ya Chuo hicho yaliyofanyika juzi huko Bungo Kibaha. Hongera Mzee kwa kutambuliwa mchango wako katika ujenzi wa Taifa hili na kutunukiwa shahada.

Mgeni rasmi katika Mahafali hayo alikuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Gharib Bilal, hapa anaonekana akiteta jambo na Mkuu wa Chuo hicho Mh. John Malekela.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni