Ijumaa, 1 Julai 2011

ANDY COLE WA MANCHESTER UNITED AIBUA VIPAJI MAKONGO.

Andy Cole akizungumza na Balozi wa Kenya nchini Mutinda Mutiso akiwa chumba cha kusubiria Uwanja wa ndege wa Mwalimu J K Nyerere mara baada ya kuwasili jana, mwingine ni Mkurugenzi wa Mahusiano Airtel Bi. Beatrice Singano Mallya.
Andy cole mwenye suit nyeusi chini akiwa na wanafunzi wa Makongo
Akifudisha jinsi ya kutoa pasi
Cole akisaini
Akisalimiana na Waziri  Fenela Mukangara, katikati ni kiongozi mmojawapo wa TFF.
Picha zote kwa hisani ya swahilispeakers.blogspot.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni