Ijumaa, 8 Julai 2011

AJALI YA MOTO MJINI NACHINGWEA JANA. DUKA LA MANGI LAUNGUA NA KUTEKETEZA MALI KADHAA, CHANZO HAKIJAJULIKANA BADO.

Wananchi wakishuhudia nyumba ya mfanyabiashara aitwae Mangi British ikiungua moto.
Moto unaanza kukolea

Baadhi ya magari mabovu yaliyokuwa jirani yakiondolewa
Mali chache ziliokolewa na wasamria wema, changamoto ni kuwa mji wa Nachingwea hauna gari la zimamoto pamoja na kuwa kuna uwanja mkubwa wa ndege hapa jirani. Inasemekana duka lililoungua ni miongoni ya maduka makubwa hapa wilayani Nachingwea.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni