Jumamosi, 30 Julai 2011

HONGERA CRDB KWA KUTOA HUDUMA HADI NYUMBANI; GARI LA HUDUMA ZA KIBENKI ZA CRDB LIKIWA LINAHUDUMIA WATEJA MJINI NACHINGWEA JANA.

Wateja wakipata huduma za kibenki.


Gari hili inasemekana lipo siku zote, kwa ushauri tu mnaonaje mkifungua tawi rasmi!!? Inavyoonekana Wateja ni wengi wa kutosha,kazi kwako Dr. Kimei.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni