Jumatano, 6 Julai 2011

PONGEZI SPIKA WA BUNGE MHESHIMIWA ANNA MAKINDA KWA KULISIMAMIA BUNGE KWA KANUNI ZAKE VIZURI.

Jana nilishuhudia mjadala wa bajeti ya Ofisi ya Rais Utumishi na idara zake ambapo shilingi zaidi ya mbili zilitolewa, pongezi kwa spika kwa kusimamia vizuri na kwa busara mjadala ule maana kazi ilikuwa nzito hasa pale Mnyika na kaka yake Tundu Lissu walipotoa shilingi zao. Pia pongezi ziende kwa waheshimiwa mawaziri Hawa Ghasia, Stephen Wasira na Chikawe kwa kujibu hoja kwa ueledi mkubwa. MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni