Jumapili, 24 Julai 2011

BURIANI MHARIRI WA GAZETI LA RAI, BW. DAN MWAKITELEKO

L
Gari aliyokuwa akiendesha marehemu, hapa ni baada ya kupata ajali kwa kuingia chini ya tela lililoegeshwa kando ya barabara almaarufu vicheche.

Marehemu Dan Mwakiteleko aliyefariki jana asubuhi kitengo cha MOI hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kupata ajali yagari maeneo ya TOT Tabata usiku akiwa anatokea kazini kuandaa gazeti la RAI la juzi, Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, AMEN.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni