Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo SOKA. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo SOKA. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 12 Januari 2012

MESSI AIBUKA MCHEZAJI BORA WA DUNIA MWAKA 2011.


Lionel Messi ameshinda tuzo ya Fifa ya mwanasoka bora wa mwaka 2011 ya Ballon d'Or, na kuwa mchezaji wa nne katika historia duniani kushinda tuzo hiyo mara tatu. Mshambuliaji huyo kutoka Argentina mwenye umri wa miaka 24, aliwashinda Cristiano Ronaldo wa Real Madrid na mchezaji mwenzake wa Barcelona, Xavi.  Kocha wa Manchester United Sir Alex Ferguson alishinda tuzo ya huduma kwa soka, huku meneja wa Messi, Pep Guardiola akipata tuzo ya kocha bora wa mwaka. Messi, ambaye aliwahi pia kushinda tuzo hiyo yenye hadhi mwaka 2009 na 2010, alikuwa mchezaji bora katika mechi ya fainali ya Klabu Bingwa Ulaya mwaka 2011, dhidi ya Manchester United, na pia alishinda ligi ya Uhispania, kombe la Supercopa la Uhispania, Kombe la Uefa Super Cup na Kombe la Dunia la klabu mwaka jana

Jumamosi, 12 Novemba 2011

STARS YAIFUNGA CHAD 2-1

Kocha wa Taifa Stars Jan Poulsen


Na Edo Kumwembe, N'djamena, Chad
FALSAFA ya kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Jan Poulsen ya kushambulia mwanzo mwisho katika mechi dhidi ya Chad, ilizaa matunda jana baada ya kuibuka na ushindi wa kwanza ugenini wa mabao 2-1 mechi ya kuwania nafasi ya kucheza hatua ya makundi fainali za Kombe la Dunia, shukrani kwa Nurdin Bakari aliyefunga bao la ushindi kwenye mechi hiyo.

Nurdin aliyeingia toka benchi, alifunga bao hilo katika dakika ya 85 akimaliza pasi nzuri ya Thomas Ulimwengu na kuwanyamazisha mashabiki wa Chad waliojazana kwenye Uwanja wa Idriss Mahamat.Huu ni ushindi wa kwanza ugenini wa kocha Poulsen tangu aanze kuifundisha Stars akichukua nafasi ya kocha Marcio Maximo.
Matokeo haya ni mazuri kwa Stars na angalau yametuliza kiu ya mashabiki wa soka nchini ambao kwa muda mrefu wamekuwa wanyonge kila timu yao inapocheza.Ili iweze kuingia hatua ya makundi, sambamba na Morocco, Ivory Coast na Gambia, Stars itahitaji sare tu katika mechi ya marudiano itakayofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam wiki ijayo.
Mara baada ya mchezo kumalizika, Poulsen alisema kikosi chake kilicheza vizuri, na anashukuru mfumo wake wa kushambulia mfululizo ulizaa matunda

Jumatatu, 29 Agosti 2011

MANCHESTER UNITED YAFANYA MAUAJI KWA ARSENAL, YAIFUNGA 8-2

Robin van Persie insists Arsenal cannot blame a weakened team for their humiliating 8-2 defeat at Manchester United.
The Gunners were missing a string of key men through either injury or suspension - as well as recently-departed duo Cesc Fabregas and Samir Nasri - for the nightmare afternoon at Old Trafford that is arguably the most shocking result in the history of the Premier League.
Both Arsene Wenger and Sir Alex Ferguson pointed to Arsenal's restricted options for the crushing defeat.
No hiding: Arsenal captain Robin van Persie insists the club's humiliating defeat at Old Trafford must not be blame on injuries and suspensions

No hiding: Arsenal captain Robin van Persie insists the club's humiliating defeat at Old Trafford must not be blame on injuries and suspensions
But captain Van Persie hinted at real problems inside the camp by refusing to go along with that verdict.
The Dutchman, who struck one of the consolation goals against the champions, said: 'We need to come back. We have Swansea in two weeks, who are good opponents and I look forward to that.
'This was the strongest team we had. We gave our maximum but it was clearly not good enough.
'I don't think we can hide behind injuries or suspensions. It is no excuse. They had injuries too, this is football.'
Darkest day: Arsene Wenger could bare to watch as his side were thrashed by Manchester United

Darkest day: Arsene Wenger could bare to watch as his side were thrashed by Manchester United
Arsenal now have until 11pm on Wednesday night to beef up their squad before the transfer window slams shut until January.
As well as finding a creative spark with Fabregas and Nasri gone, the Gunners are clearly desperate for reinforcements in defence.
Moves for Bolton's Gary Cahill and Phil Jagielka of Everton are likely to be resurrected, while Wenger has finalised a move for Monaco striker Park Chu-young.
In the meantime, Van Persie is taking consolation from Arsenal's supporters, who continued to sing proudly throughout the hammering at United.
Down and out: Van Persie, who missed a first-half penalty, saluted the club's fans for their support

Down and out: Van Persie, who missed a first-half penalty, saluted the club's fans for their support
He added: 'That is one really positive thing. They were cheering us up all game for 90 minutes. We really appreciate that.
'Sometimes you see fans leaving early but I did not see that. When we went to the fans to thank them after the game, it looked like every seat was still full.
'That was a good feeling. I love that. It really cheered us up.'
Under-fire Wenger insists he will not quit and blamed the 'painful' thrashing on his depleted squad.
Simply Gr-eight: Manchester United's players were in dreamland after stunning the Gunners

Simply Gr-eight: Manchester United's players were in dreamland after stunning the Gunners
He said: ‘The defeat is painful and I do feel humiliated. But quitting has never entered my mind. How much of the blame is mine? As much as you want it to be. The time for working that out is at the end of the season.
'I am in a public job and I have to accept that,' he added. 'I have to make the right decision for the club and I will continue to do that.
'We have played three games and I think you should give me more time to say if I have got it completely wrong.
'We had too many players out. It was too much.'
Even United manager Sir Alex Ferguson agreed and almost sounded apologetic for increasing his rival’s misery.
He said: ‘We could easily have had more goals, but, to be honest, I didn’t want to score more than eight. I was more than satisfied with the outcome.
‘Arsenal were very weakened, but you still have to do the job, which we did with some fantastic goals

Jumapili, 28 Agosti 2011

LIVERPOOL YAIBANJUA BOLTON 3-1, YAONGOZA PREMIER LEAGUE

Wachezaji wakipongezana.
TeamsPGDPTS
1 3 4 7
2 3 3 7
3 3 3 7
4 2 5 6
5 2 4 6
6 3 2 5
7 3 2 5
8 2 1 4
9 3 1 3
10 2 0 3
11 3 -5 3
12 2 0 2
13 3 -1 2
14 3 -2 2
15 3 -4 2
16 2 -2 1
17 2 -2 1
18 2 -2 0
19 1 -3 0
20 3 -4 0
.

Jumanne, 23 Agosti 2011

MASHABIKI YANGA WAMVAA SAM TIMBE

MASHABIKI wenye hasira wa Yanga, juzi walivamia gari la wachezaji pamoja na la kocha wa timu hiyo Sam Timbe wakilalamikia mchezo mbovu uliosababisha timu yao ifungwe na JKT Ruvu bao 1-0.

Mashabiki hao walitoa kauli kali kwa wachezaji na Timbe huku wakisisitiza kuwa mchezo wa Jumatano kati ya Yanga na Moro United ni mtihani mwingine kwa kocha huyo raia wa Uganda.

Timbe ambaye aliiwezesha Yanga kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara msimu uliopita na Kombe la Kagame, alilalamikiwa na mashabiki akidaiwa kushindwa kupanga kikosi na kusababisha kipigo kwa JKT Ruvu katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Wakizungumza baada ya kumalizika mchezo huo, baadhi ya mashabiki na wanachama wa Yanga , walidai licha ya wachezaji kucheza chini ya kiwango alishindwa kufanya mabadiliko.

Gari la wachezaji pamoja na lililombeba kocha yalipata msukosuko mkubwa, kiasi cha Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU) kuimarisha ulinzi zaidi ili kuwalinda.

Naye Clecence Kunambi anaripoti kuwa, akizungumzia vurugu hizo jana, Ofisa Habari wa Yanga, Luios Sendeu alisema klabu hiyo itawashughulikia mashabiki na wanachama wake watakaobainika walifanya fujo katika mchezo wa Yanga na JKT Ruvu juzi.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Sendeu alisema wanafuatilia vurugu hizo kupitia mkanda wa video na mashabiki watakaobainika watachukuliwa hatua za kinidhamu, ingawa hakuzitaja.

Aliwataka wanachama na mashabiki wa timu hiyo kuwa wavumilivu pindi timu yao inapofanya vibaya kwani hiyo ni sehemu ya mchezo wa soka na kwamba viongozi wanatambua timu inapita katika kipindi kigumu kwa sasa, lakini aliwatoa hofu kuwa hali itakuwa shwari muda si mrefu.

“Hakuna mtu anayependa kufungwa, lakini hatuna budi kukubaliana na matokeo, tunawaomba watuunge mkono hali itakuwa nzuri punde,” alisema Sendeu.

Licha ya kukubali matokeo hayo, lakini pia alisema kwa kiasi kikubwa yamechangiwa na ubovu wa Uwanja wa Jamhuri hali iliyowapa shida wachezaji wao kumiliki mpira.

Pia alisema kuwepo na majeruhi wengi ndani ya kikosi cha timu yao ni sababu nyingine ya kupoteza mchezo huo na kuwataja wachezaji majeruhi kuwa ni Kigi Makassy, Davies Mwape, Kenneth Asamoah na Yaw Berko.


Wakati huohuo, Mwandishi Wetu anaripoti kutoka Morogoro kuwa mchezo kati ya Yanga na JKT Ruvu umeingiza kiasi cha Sh milioni 15.3.

Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Morogoro ( MRFA) Hamis Semka , alisema mapato hayo yalitokana na kiingilio cha Sh 3,000 na kwamba kila timu ilipata Sh milioni 3.4 na kilichobakia kiligawanywa kwa taasisi, vyama vya michezo ikiwemo Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania ( TFF).

Jumatatu, 22 Agosti 2011

MANCHESTER CITY YAIFUNGA BOLTON 3-2, YAONGOZA PREMIER LEAGUE

Jumamosi, 20 Agosti 2011

LIVERPOOL YAIFUNGA 2-0 ARSENAL LICHA YA KUWA UGENINI, YAONGOZA MSIMAMO WA PREMIER UINGEREZA

Liverpool recorded their first away win over Arsenal since 2000 to heap more misery on the Gunners - who saw Emmanuel Frimpong sent off and lost injured centre-back Laurent Koscielny in a 2-0 defeat at Emirates Stadium.

Samir Nasri impressed for the Gunners, despite being expected to join Manchester City, but Arsenal's luck was out after Aaron Ramsey's own goal and a last-minute strike from substitute Luis Suarez handed the visitors victory.
Pure joy: Liverpool manager Kenny Dalglish celebrates as his side grab victory
 Liverpool manager Kenny Dalglish celebrates as his side grab victory

MATCH FACTS

Arsenal: Szczesny, Sagna, Vermaelen, Koscielny (Miquel 15), Jenkinson, Nasri, Walcott (Bendtner 80), Ramsey, Arshavin (Lansbury 71), Frimpong, Van Persie.
Subs not used: Fabianski, Oxlade-Chamberlain, Chamakh, Miyaichi.
Yellow cards: Frimpong, Lansbury
Red card: Frimpong
Liverpool: Reina, Jose Enrique, Agger, Carragher, Kelly, Henderson, Downing, Lucas, Adam, Carroll (Suarez 71), Kuyt (Meireles 71).
Subs not used: Doni, Skrtel, Flanagan, Maxi, Spearing.
Yellow cards: Lucas, Carroll
Referee: Martin Atkinson
Attendance: ?
Arsene Wenger - who now has half his first-choice team out because of suspension or injury - must regroup his squad for next week's crucial Champions League play-off second leg in Udinese and the small matter of a trip to Manchester United.
Nasri - whose £22million move to City is, according to reports on French TV, said to have broken down - did not applaud the crowd as the teams came out of the tunnel, and was then jeered by some sections of the Emirates Stadium faithful when his name was announced.
Liverpool showed early intent, as Dirk Kuyt - who netted a late penalty deep into stoppage time to earn a 1-1 draw here last season - drilled a low, angled drive goalwards.
New Arsenal captain Robin van Persie looked lively as he nicked the ball out on the right channel and floated over a cross which Martin Kelly stabbed behind for a corner.
On eight minutes, Frimpong was cautioned for squaring up to Jordan Henderson as the Liverpool midfielder tried to take a quick throw-in.


Seeing red: Emmanuel Frimpong (right) lashes out at Lucas to earn a second yellow card

Seeing red: Emmanuel Frimpong (right) lashes out at Lucas to earn a second yellow card
Koscielny added to Wenger's defensive problems when he pulled up with what looked like a lower back injury on 14 minutes and had to be replaced by youngster Ignasi Miquel, the Spaniard making his Premier League debut.
Liverpool almost took the lead on 20 minutes when Andy Carroll's towering header at the far post brought a brilliant save from Wojciech Szczesny.
Gloomy afternoon: Arsene Wenger has that sinking feeling as Arsenal slump to defeat

Gloomy afternoon: Arsene Wenger has that sinking feeling as Arsenal slump to defeat
The visitors were in full flight now, with Henderson sending a tame header straight at the Arsenal keeper following another quick break down the left.
Charlie Adam then tried an audacious chip from the halfway line, which had Szczesny backpedalling, but flew over the bar.
Not gone yet: Samir Nasri made a surprise appearance in the Arsenal line-up

Not gone yet: Samir Nasri made a surprise appearance in the Arsenal line-up
Arsenal finally mounted a meaningful attack after 30 minutes when Frimpong's low drive from 20 yards was pushed wide by Jose Reina.
Nasri then showed what Arsenal would be missing when he picked up the ball in his own half, dashed forwards and turned Liverpool inside out before unleashing a 25-yard strike which curled past the post..
The visitors broke quickly into the Gunners box on 55 minutes, with Carroll laying the ball back to Kelly - and his snapshot struck the outside of the post.

Arsenal eventually started to up the pressure, but lacked a decisive pass in the final third.
Andrey Arshavin turned Kelly and fed van Persie at the near post, but his goalbound flick was kicked behind by Reina.
With 20 minute left, Arsenal were reduced to 10 men when Frimpong was shown a second yellow card when he left his foot up in a 50/50 with Lucas, right in front of the referee.
Clash of the day: Liverpool's Danish defender Daniel Agger goes flying under a challenge from Frimpong

Clash of the day: Liverpool's Danish defender Daniel Agger goes flying under a challenge from Frimpong

Liverpool snatched a fortunate lead on 78 minutes when as Suarez darted into the six-yard box, Miquel's clearance cannoned off Ramsey's chest and back over the keeper into the net.
A miserable afternoon for the Gunners was compounded in the final minute when Suarez tapped in from close range following a quick counter-attack.



Chanzo: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2028181/Arsenal-0-Liverpool-2-More-woe-Wenger-Dalglishs-men-strike-late-grab-victory.html#ixzz1VZyD0xxf

Jumatano, 17 Agosti 2011

YANGA YAFUNGWA 2-0 NA SIMBA KATIKA KOMBE LA NGAO YA HISANI.



ARSENAL YAITUNGUA UDINESE BAO 1-0

Arsenal


Jumapili, 31 Julai 2011

LIVERPOOL KUENDELEA KUMKOSA GERRAD HADI MWEZI SEPTEMBER AKIENDELEA NA MATIBABU HOSPITALI.

Steven Gerrad kushoto.
Gerrad katika hekaheka za uwanjani mwanzoni mwa msimu uliopita.

TEKNOLJIA YA KAMERA KATIKA GOLI KUANZA KUTUMIKA.

Teknolojia katika soka

Teknolojia  katika soka
Teknolojia katika soka
Teknolojia ya kutumia kamera katika goli huenda ikaanza kutumika katika ligi kuu ya Premier mwanzoni mwa msimu ujao wa 2012-13.
Halmashauri ya kimataifa ya chama cha mpira cha England itatoa uamuzi kama idhinishe mfumo huo ama la mnamo mwezi wa Machi 2012.
Ikiwa itathibitishwa basi kiongozi wa FIFA Sepp Blatter anasema ligi za soka zitaweza kuutumia mwanzoni mwa msimu wa 2012-13 endapo utakua hauna kasoro wala hautagharimu fedha nyingi.
Mkuu wa ligi ya Premier ya England, Richard Scudamore amesema kwamba watautumia mfumo huo mara tu utakapoidhinishwa.

Teknolojia ya goli kuidhinishwa.
Blatter aliongeza kusema kwamba teknolojia hiyo inaweza pia kutumika katika michuano ijayo ya kombe la dunia la mwaka 2014 nchini Brazil .
Kwa miaka mingi mkuu huyo wa Fifa amekua akipinga matumizi ya teknolojia katika eneo la goli lakini inaelekea alibadili mawazo yake baada ya mabishano makali kuzuka mnamo mwaka 2010.

Jumanne, 19 Julai 2011

MREMBO AHAIDI KUVUA NGUO KUSHANGILIA USHINDI WA PARAGUAY

Mrembo Kusaula Nguo Kushangilia Ushindi wa Timu ya Taifa


Larissa Riquelme
Tuesday, July 19, 2011 1:10 AMMacho ya washabiki wa soka wa nchini Paraguay yameelekezwa kwa mrembo maarufu nchini humo ambaye aliahidi kusaula nguo zake zote iwapo timu yake ya taifa ingevuka hatua ya robo fainali ya kombe la Copa America.
Mrembo wa nchini Paraguay, Larissa Riquelme aliahidi kumwaga radhi hadharani katika kushangilia timu yake ya taifa iwapo timu hiyo itavuka hatua ya robo fainali ya kombe la Copa America.

Hivi sasa macho ya washabiki wa soka wa nchini Paraguay yameelekezwa kwa Larissa kwani timu ya taifa ya Paraguay imeweza kuvuka hatua ya robo fainali baada ya kuibugiza Brazil mabao 2-0 kwa penalti na kuitupa nje ya mashindano ya Copa America.

Katika mechi hiyo iliyoamuliwa kwa penalti baada ya mechi kuisha sare ya 0-0, Brazil ilikosa penalti zote nne ilizopiga wakati Paraguay iliweza kuzamisha kimiani penalti mbili kati ya tatu ilizopiga.

Wakati Paraguay ikijiandaa kupambana na Venezuela siku ya jumatano kwenye mechi ya nusu fainali, washabiki wa soka wanasubiri kuona kama Larissa atatimiza ahadi yake.

Larissa aliwahi kutoa ahadi kama hiyo wakati wa kombe la dunia nchini Afrika Kusini mwaka jana, lakini kwakuwa Paraguay haikufika mbali hakulazimika kuitimiza ahadi yake.

Ijumaa, 15 Julai 2011

MANCHESTER UNITED YAGWAYA KUMSAINISHA SNEIJDER.

Manchester United put off by Inter Milan's £35 million valuation of Wesley Sneijder

Manchester United fear the financial cost is becoming a growing obstacle in their attempt to sign the Inter Milan midfielder Wesley Sneijder alhough it is understood the Dutchman could yet move to Old Trafford if the Italian club relent on their £35 million valuation.

Manchester United put off by Inter Milan's £35 million valuation of Wesley Sneijder
Sneijder.
Senior figures at United suggested that interest in the 27 year-old had ended and that Sneijder’s £190,000-a-week salary demands would break the club’s pay ceiling.
Sir Alex Ferguson, speaking in Seattle last night, hinted at the barriers which have led United to review their moves to sign Sneijder. He said: "There is no real interest in Sneijder at this moment in time for a lot of reasons. I’ve not been involved in that since I came over here."
Pointedly, however, Ferguson did not say that the deal might not eventually happen.
Ferguson also dismissed concerns over the inexperience of Manchester United’s 20-year-old summer recruit, David de Gea, by claiming the Spanish goalkeeper can emulate Chelsea’s Petr Cech in the Premier League.
De Gea, who signed for £18.3 million from Atlético Madrid, is due to link up with his new team-mates here this weekend after being signed to replace Edwin van der Sar.

Alhamisi, 14 Julai 2011

GERVINO KUSAJILIWA NA WENGER

Arsenal imethibitisha kumsajili mshambuliaji hatari wa klabu ya Lille Gervinho anayechezea pia timu ya taifa ya Ivory Coast.
Gervinho
Gervinho


Gervinho mwenye umri wa miaka 24 ameifungia Lille mabao 15 yaliyoisaidia klabu hiyo kushinda ligi ya Ufaransa msimu uliopita.
Arsenal kwa sasa wapo katika ziara ya Mashariki ya Mbali na meneja wao Arsene Wenger amesema: "Gervinho amejiunga nasi. Alifanyiwa uchunguzi wa afya siku ya Alhamisi.
"Tumemwambia arudi nyumbani kwa siku chache kwa sababu ana familia na watoto. Hakuja nasi katika ziara kwa sababu bado hajafanya mazoezi."
Gervinho, ambaye alikuwa nahodha wa timu ya taifa ya Ivory Coast mwaka 2008 wakati wa michezo ya Olympic ya Beijing, hivi karibuni aliliambia gazeti moja la Ufaransa la michezo: "Nimeichagua Arsenal kwa sababu ni timu yenye vijana ambapo nitaweza kuzoeana nao bila matatizo."

Ijumaa, 1 Julai 2011

ANDY COLE WA MANCHESTER UNITED AIBUA VIPAJI MAKONGO.

Andy Cole akizungumza na Balozi wa Kenya nchini Mutinda Mutiso akiwa chumba cha kusubiria Uwanja wa ndege wa Mwalimu J K Nyerere mara baada ya kuwasili jana, mwingine ni Mkurugenzi wa Mahusiano Airtel Bi. Beatrice Singano Mallya.
Andy cole mwenye suit nyeusi chini akiwa na wanafunzi wa Makongo
Akifudisha jinsi ya kutoa pasi
Cole akisaini
Akisalimiana na Waziri  Fenela Mukangara, katikati ni kiongozi mmojawapo wa TFF.
Picha zote kwa hisani ya swahilispeakers.blogspot.com

Jumanne, 28 Juni 2011

OCEAN VIEW MAMBO SAFI KAGAME CUP


Timu ya Ocean view ya Zanzibar imejiwekea mazingira mazuri zaidi ya kufuzu robo fainali ya michuano ya Kombe Kagame baada ya kuifunga Red Sea ya Eritrea mabao 2-0.

Kutokana na ushindi wa mchezo huo uliofanyika mchana Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, Ocean View imefikisha pointi sita na kuongoza kundi hilo, baada ya mchezo wa kwanza kuifunga Etincelles ya Rwanda mabao 3-2.

Ocean View sasa imebakisha michezo miwili wa kwanza itacheza na Simba kesho na mwingine itaumana na Vital ‘O ya Burundi Jumapili.

Kihesabu inaweza kuonekana kana kwamba tayari Ocean View imefuzu kwa vile timu zinazotakiwa kufuzu robo fainali kwa Kundi A ni tatu, lakini kisoka bado kwa vile inaweza kupoteza michezo yake yote iliyobaki, kisha wapinzani wake wakashinda michezo yao hivyo kupita pointi sita ama kuwa sawa na badala yake idadi ya uwiano wa mabao ukaamua.

Katika mchezo wa jana, Ocean View ilipata bao la kwanza dakika ya 35 mfungaji akiwa Haji Suleiman kutokana na pasi ya Mohammed Hamduni.

Red Sea licha ya kufungwa mchezo huo ilipata nafasi kadhaa za kufunga, lakini umaliziaji haukuwa mzuri, ambapo itajutia zaidi nafasi iliyopata dakika ya 16 wakati Abraham Tedros alipoingia ndani ya eneo la hatari, lakini shuti lake lilipanguliwa na kuwa kona butu.

Red Sea ililazimika kucheza pungufu dakika ya 77 baada ya Aron Zekarias kuoneshwa kadi nyekundu kwa kumpiga kiwiko Salum Shebe.

Timu hizo ziliendelea kushambuliana kwa zamu, ambapo dakika ya 86 Said Rashid alifunga bao la pili kwa shuti lililoenda moja kwa moja wavuni.

Kulingana na taratibu za Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), timu tatu za Kundi A, pamoja na timu mbili za juu Kundi B na mbili za Kundi C zitacheza robo fainali pamoja na timu itakayokuwa na uwiano mzuri wa pointi kutoka Kundi B ama C.

Katika mchezo mwingine uliofanyika jioni kwenye uwanja huo timu ya Vital ‘O ya Burundi ambayo mchezo wa kwanza ilitoka 0-0 na Simba iliifunga Etincelles ya Rwanda mabao 3-1
Mabao ya washindi yalifungwa na Nzigamasabo Steive, Minzi Stanley na Mbakiye Babi wakati la Etincelles lilifungwa na Ochaya Sylvan.

Vital’O sasa imefikisha pointi nne kwa michezo miwili. Michuano hiyo inaendelea tena leo kwa mchezo wa Kundi B, ambapo Bunamwaya ya Uganda itacheza na Elman ya Somalia

Jumapili, 29 Mei 2011

SIMBA YATOLEWA KOMBE LA MABINGWA AFRIKA.

Simba Yageuzwa Uchochoro Misri


Sunday, May 29, 2011 2:51 AM
Magoli matatu yaliyofungwa katika dakika tatu za mwisho wa mchezo yameifanya Simba iliage kombe la mabingwa wa Afrika kwa kipigo cha mabao 3-0 toka kwa timu ya Wydad Casablanca ya Morocco.
Klabu ya Simba imeshindwa kuwika mbele ya timu ya Wydad Casablanca ya Morocco baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-0 katika mechi ya kombe la mabingwa wa Afrika iliyochezwa kwenye uwanja wa Petrosport Stadium jijini Cairo nchini Misri.

Magoli matatu yaliyoiua Simba yalifungwa ndani ya dakika tatu za mwisho wa mchezo huo ambao kipa wa Simba, Juma Kaseja alifanya kazi ya ziada kuiokoa michomo mikali ya washambuliaji wa Wydad Casablanca.

Goli la kwanza la Wydad Casablanca lilifungwa kwenye dakika ya 87 na Allou Mustapha ambaye dakika moja baadae aliifungia timu hiyo goli la pili. Wydad Casablanca waliongeza goli la tatu kwenye dakika za majeruhi.

Kwa kipigo hicho, Simba imetolewa kwenye kombe la mabingwa wa Afrika na sasa itarudi kucheza kwenye kombe la shirikisho la CAF kwa kuanzia mechi za raundi ya tatu ambapo itapimana ubavu na timu ya DC Motema Pembe ya Jamhuri ya Kongo.

CHANZO; Nifahamishe.com