Jumapili, 24 Aprili 2011

TAIFA STARS YACHAPWA NA BLACK MAMBAS 2-0

Shabiki namba moja wa Taifa Stars

Stars(picha ya maktaba)

Stars mazoezini.
Timu ya Taifa ya Tanzania jana usiku kuamkia Pasaka imechapwa na timu ya Taifa ya Msumbiji mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki wa ufunguzi wa uwanja mpya mkubwa wa soka huko MSUMBIJI. Emmanuel Sithole aliipatia Mambas bao katika kila kipindi na kuifanya Mambas kutoka kifua mbele. Matokeo hayo ni kama Stars imeendekeza kichapo kwani mwaka 2007 katika mchezo wa ufunguzi wa uwanja mpya wa Taifa wa Tanzania Stars ililala dolo mbele ya Mambas. Hureeeee!!!!!! Kichwa cha mwendawazimu!?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni