Ijumaa, 22 Aprili 2011

MAULID YA MTOTO OMARI MBELA, JUMAMOSI TAR 23/04/11,SAA 7 MCHANA, WADAU MNAKARIBISHWA.

 Umri siku kumi duniani
 Umri siku ishirini





       
Bibi na wajukuu wake

Siku 38 duniani, karibu sana,shida na raha ndio maisha.
Wanafamilia ya Mnonjela wa Tegeta Salasala wanawakaribisha wote, ndugu , jamaa na marafiki kwenye shughuli ya Maulid ya kuzaliwa mtoto Omari Mbela anayetarajia kutimiza umri wa siku arobaini hapo kesho jumamosi nyumbani Tegeta mchana saa saba.
LLAA ILLAH ILALLAH, INSHAALLAH MUNGU TUKUZIE KIUMBE CHETU,AMIN. 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni