Jumapili, 24 Aprili 2011

FILAMU YA YASINTA YAJA


Wasanii wa filamu toka mtaa Mrefu maeneo ya Kigogo Luhanga wapo katika hatua za mwisho kabla ya kutoa filamu yao iitwayo YASINTA. Hapa msanii atakayecheza kama zimwi akipambwa ili afanane na wanachotaka kuonesha.


Jamaa anapambwa bado.


Majaribio ya 'action.'

Zimwi katokea, jamaa mbioo.....
Kwa wale wenye mapenzi mema na kazi hizi za wasanii hawa wanaochipukia kwa kasi ili uwasaidie japo kwa ushauri au fiscal aid unaweza kuwasiliana nao kwa namba hizi;
0659209315 Katibu wa kundi.
0713085713 Mratibu Usafiri



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni