Alhamisi, 14 Aprili 2011

MAFURIKO DAR

Mvua zinazoendelea kunyesha sehemu za miinuko hapa Dar es salaam zinasababisha mito iliyopo jirani na midomo ya bahari kufurika, pichani ni mto Tegeta ukiwa umefurika ingawa katika hali ya kawaida huwa hautiririshi maji.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni