Jumatano, 20 Aprili 2011

MGENI AJE MWENYEJI ASUMBUKE


Msafara wa marais wa Afrika Mashariki wakitoka kwenyemkutano Mlimani City wakiongozwa na pikipiki za polisi huku......


Wananchi wakiwa wamekwama katika vituo vya daladala kupisha misafara hiyo,abiria wa Ubungo wakiwa Mwenge stendi.

Abiria wanaoenda Tegeta wakiwa stendi ya Shell Mwenge



Wengine walishindwa kuvuka barabara

Hapa wakiwa wamekata tamaa kabisa,ilikuwa tar. 18-04-11 saa 4.00 hadi 4.30 usiku.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni