Jumapili, 24 Aprili 2011

MAFURIKO DAR

Magari haya yalinaswa na tope wakati yakijaribu kupita kwenye bonde la mto Tegeta kukiwa na maji kidogo yanayotiririka,ghafla maji kutoka maeneo ya juu yalianza kujaza mto ingawa Tegeta  hakukuwa na mvua hali iliyosababisha madereva wayaache magari yao kusubiri maji yapungue,baadae usiku wa jana yaliondolewa.



Ngombe pia huvuka mto huo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni