Jumanne, 27 Desemba 2011

RASHID MATUMLA NA MANENO OSWALD HAKUNA MBABE.

MANENO OSWARD VS RASHIDI MATUMLA HAKUNA MBABE KILA MMOJA ATOKA NA POINTI 99

Bondia Rashidi Matumla (kushoto) akiwa chini baada ya kuteleza uku mpinzani wake Maneno Osward akimsubili kwa ajili ya kumpiga wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana wakati wa sikukuu ya Xmasi mpaka mwisho wa pambano point ni 99 kwa 99 hivyo kuwa droo.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Bondia Rashidi Matumla (kushoto) na Maneno Osward wakioneshana ufundi wa kutupa masumbwi wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana wakati wa sikukuu ya Xmasi mpaka mwisho wa pambano pointi ni 99 kwa 99 hivyo kuwa droo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni