Ijumaa, 9 Desemba 2011

PICHA YA LEO;MKESHA WA MIAKA HAMSINI YA UHURU, SANAMU YA BISMIN(ASKARI) YANG'AA PALE MITAA YA SAMORA NA AZIKIWE KUAMKIA LEO.



Leo ni miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Hata hivyo, shamra shamra za kufikia kilele zilianza muda na jana kulikuwa na mkesha nchi nzima ulioandamana na mapambo ya kila namna. Hapa ni eneo maarufu la Mnara wa Askari jijini Dar es Salaam likimeremeta jana usiku na kubadilisha mandhari yake yaliyozoeleka ikiwa ni sehemu ya kukaribisha siku hii muhimu ya leo. (Picha na Robert Okanda).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni