Jumamosi, 10 Desemba 2011

JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA LASHIRIKI KUADHIMISHA MIAKA HAMSINI YA UHURU WA TANGANYIKA.

MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA ILIVYOADHIMISHWA NA JESHI LA WANANCHI (JWTZ)

Mara baada ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Dk. Jakaya Kikwete kukagua vikosi vya ulinzi na usalama na vikosi hivyo kutoa heshima kwa Amiri Jeshi Mkuu huyo, kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania leo katika uwanja wa Uhuru, yalifuatia maonyesho ya vifaa vya kijeshi vilivyoonyeshwa na jeshi tukufu la Tanzania JWTZ, ambapo askari wa jeshi hilo wakiwa wakakamavu, walipita na kuonyesha vifaa vya kivita kama linavyoonekana na gari hili ni la Rada hutumiwa na jeshi la wanamaji likiwa na
Haya ni Magari maalumu yanayotumiwa na wanajeshi wa majini kama yanavyoonekana.
Haya ni magari ya kulinda amani katika programu za umoja wa mataifa.
haya ni magari ya makombora ya masafa marefu.
Vifaru vinavyopiga masafa marefu.
Vifaru vya Doria
Magari haya maalum pia ni kwa ajili ya Doria
Hili ni gari maalum kwa ajili ya madaraja
Hili ni gari lililotengenezwa na kiwanda cha Nyumbu kinachomilikiwa na JWTZ.
Hili ni gari lililotengenezwa na kiwanda cha Nyumbu kinachomilikiwa na JWTZ ambalo kazi yake kubeba mizigo.
Credits; Fullshangwe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni