Ijumaa, 2 Desemba 2011

RAIS KIKWETE AMPOKEA GEORGE W, BUSH JANA IKULU.

RAIS Jakaya Kikwete jana alifanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Marekani George  W. Bush Ikulu jijini Dar es Salaam ambako pamoja na mambo mengine, walijikita kwenye sekta ya afya.  Bush na mkewe Laura wako nchini tangu jana katika ziara ya siku sita barani Afrika, zikiwamo Ethiopia na Zambia

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni