Ijumaa, 4 Mei 2012

RAIS J KIKWETE AMETANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI MUDA MFUPI ULIOPITA, MANAIBU WAZIRI FEDHA NI WANAWAKE WAWILI


Dk J. Kikwete, Rais ametangaza Baraza jipya la Mawaziri leo.

Ifuatayo ni Orodha ya Mawaziri kamili waliobadilishwa tu au wapya walioteuliwa.
1.Shamsi Vuai Naodha-Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.
2.Hussein Mwinyi- Afya
3.Chikawe Mathias-Katiba na Sheria
4.Emmanuel Nchimbi-Mambo ya Ndani
5.George Mkuchika- Utawala Bora
6.Dk. Chizza- Kilimo , Chakula na Ushirika.
7.Prof. J. Magembe-Maji.
8.Dk. Mwakyembe-Uchukuzi
9.Dk. Finela Mkangala- Habari, Vijana na Michezo.
10.Balozi Kagasheki Hamis- Maliasili na Utalii.
11.Dk. Kigoda-Viwanda
12.Dk. William Mgimwa- Fedha
13.Prof. Mwandosya- Waziri asiye na Wizara Maalum Ofisi ya Rais.
14.Dk. Sospeter Mgongo-Nishati na Madini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni