Jumatano, 18 Januari 2012

R.I.P MBUNGE MTEMA- AMEZIKWA LEO HUKO IFAKARA



Marehemu Mtema akiagwa leo wakati ya misa ya mazishi huko Ifakara.
Naibu Spika, Job Ngugai (kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA, Kiongozi wa Kambi ya Upinzania na Mbunge wa Hai, Mheshimiwa Freeman Mbowe pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mheshimiwa Zitto Kabwe wakifuatilia kwa makini Misa Maalum ya Mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Marehemu Regia Mtema Ifakara leo.…
credits; globalpublishers.info

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni