Alhamisi, 26 Januari 2012

PICHA YA LEO; TIMU YA TAIFA YA TANZANIA YACHEZA BILA JEZI MBELE YA RAIS WA SUDAN NA TANZANIA MIAKA YA 1970.

Inasemekana toka siku hii Rais Julius Nyerere wa Tanzania hakuingia tena kwenye mechi za mpira wa miguu kutokana na aibu ya maandalizi mabovu ya kushindwa kununua hata jezi kwenye mechi ya kimataifa kama hii, hapa anaonekana Rais Nimeir wa Sudan akiikagua timu ya Taifa Stars huku wachezaji wake wakiwa vifua wazi, je unaikumbuka siku hii illikuwa lini? Tujulishe kwa anuani hiyo hapo juu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni