Jumamosi, 21 Januari 2012

MAKAMU WA RAIS AMALIZA ZIARA YA SIKU MBILI WILAYANI NACHINGWEA, AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA.

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Bilal akifunua kitambaa kuashiriwa kuzinduliwa kwa Shule mpya ya Sekondari ya Wasichana ya Nachingwea hapo jana, alikuwa katika ziara ya siku mbili wilayani Nachingwea kukagua miradi ya maendeleo ikiwemo mradi wa maji safi ujulikanao kama Mbwinji iinaotarajia kukamilika hivi karibuni unaojengwa na Wachina.
Kikundi cha ngoma kikifanya mazoezi ya kujiandaa kabla ya mgeni rasmi Makamu wa Rais hajawasili katika viwanja hivyo vya shule mpya ya Wasichana Nachingwea.
Wananchi wakisubiri kumsikiliza mgeni rasmi katika maeneo ya shule hiyo jana, leo amemaliza ziara yake hapa na ameelekea wilaya ya Lindi kwa ziara kama hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni