Jumamosi, 21 Januari 2012

PICHA YA LEO; KWA WALE WALOSOMA ZAMANI "SIZITAKI MBICHI HIZI" KISWAHILI DARASA LA TATU AU NNE!!!!?

Kwa taarifa hii picha ilikuwa inapatikana kwenye kitabu cha Kiswahili kilichokuwa kinaitwa "Tujifunze Lugha Yetu-5" ambapo kulikuwa na sura moja ina shairi lililoitwa Sizitaki Mbichi Hizi. Ukweli vitabu vile vilikuwa na mafundisho bora sana kwa watoto kwa hadithi zake zenye kuvutia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni