Jumatano, 28 Agosti 2013

MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA GESI YA MTWARA UNAENDELEA KWA KASI.


Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akikagua mtambo maalumu kwa ajili ya kuunganisha bomba ambao kwa hivi sasa upo katika kijiji cha Somangafungu wilayani Kilwa.

Baadhi ya mitambo ya kisasa inayotumika katika kuunganisha mabomba ya kusafirishia gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam kama ilivyokutwa ikisubiri kuanza kazi katika kijiji cha Somangafungu Wilayani Kilwa.

Mitambo maalumu ikiandaliwa kwa ajili ya kuweka mitambo itakayotumika kuwekea zege mabomba ya kusafirishia gesi asili kutoka kina kirefu baharini. 
(Picha zote na Mohamed Saif)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni