Jumatano, 18 Aprili 2012

WABUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI HAWA HAPA, KIZIGHA NA SHYROSE WAULA.

Shyrose Bhanji, Mbunge mpya wa EALA.
Waliochaguliwa kuwa Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (East Africa Legislative Assembly - EALA):

1.      Anjela Charless Kizigha - CCM

2.      Shy-Rose Saddrudin Bhanji - CCM

3.      Maryam Ussi Yahya - CCM

4.      Twaha Issa Taslima - CUF

5.      Nderakindo Perpetua Kessy – NCCR-Mageuzi

6.     Abdullah Ali Hassan Mwinyi  - CCM

7.      Adam Omar Kimbisa - CCM

8.      Bernard Musomi Murunya - CCM

9.      Charles Makongoro Nyerere  - CCM

Majina haya yanatoka kwenye orodha ya watu 33 walioteuliwa juzi
unaweza kubofya hapa kuirejea, tizama video kusikia muhtasari wa zoezi la upigaji kura na alichopata kila mshindi (shukurani ya video imwendee Mwanakijiji).
PS: Kuna mtu katika ukurasa wangu wa facebook ameaulizia 'audio' ya mtu aliyekuwa akizungumza 'lugha ya bibi' ndivyo sivyo, tafadhali tembelea bofya hapa kutembelea ukurasa wa tovuti ya Millard Ayo kusikiliza audio hiyo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni