Ijumaa, 6 Aprili 2012

LEMA ASEMA HATAKATA RUFAA JUU YA HUKUMU YA KUVULIWA UBUNGE.

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) akiondoka kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Arusha baada ya kusikiliza hukumu yake ambapo mahakama hiyo ilitengua matokeo ya uchaguzi uliopita na kumvua ubunge jijini humo. (Picha na Marc Nkwame).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni